WirelessBrain
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 980
- 1,350
Kakomaa Huyo
Yeahtofauti ya nn kukaa uchi au
Ohoooo!!!Tatizo huyu demu havutii
Duh!!!Kakomaa Huyo
Hahahahahaaaa....umeua mkuuuuuhuyu dada havutii hata akae uchi kabisaaa na nonino nje
Ungana na Wazalendo kuyapingaMadawa ya kulevya hayakosekani damuni
Mkuu ahsante sana.BRAZA....
Kama unajihisi umeboreka na upo kwenye daladala alafu hamna anaekujali wala kukusemesha....
DO THIS...
Chukua sim yako jifanye unapga namba flan afu sema maneno haya.....
"Samahani mpenzi,siwezi kuja kwako maana nipo kwenye daladala moja na mmeo...I LOVE U"
THEN zuga unakata simu....
I swear bro...
Kuna wanaume zaid ya saba watakukazia sura lakini Kuna mjnga lazma atakuuliza
"Samahani kaka,naomba niangalie namba inaishia na ngapi?"[emoji844]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bro umeuaBRAZA....
Kama unajihisi umeboreka na upo kwenye daladala alafu hamna anaekujali wala kukusemesha....
DO THIS...
Chukua sim yako jifanye unapga namba flan afu sema maneno haya.....
"Samahani mpenzi,siwezi kuja kwako maana nipo kwenye daladala moja na mmeo...I LOVE U"
THEN zuga unakata simu....
I swear bro...
Kuna wanaume zaid ya saba watakukazia sura lakini Kuna mjnga lazma atakuuliza
"Samahani kaka,naomba niangalie namba inaishia na ngapi?"[emoji844]
Baada ya kukata zuga unamshtua konda ashushe kituo kinachofata, kama hutashuka na wanaume watatu kati ya hao saba kuna mmoja ataomba muendelee na safari kituo kingine atakulipia nauli ya kurudi!π π πBRAZA....
Kama unajihisi umeboreka na upo kwenye daladala alafu hamna anaekujali wala kukusemesha....
DO THIS...
Chukua sim yako jifanye unapga namba flan afu sema maneno haya.....
"Samahani mpenzi,siwezi kuja kwako maana nipo kwenye daladala moja na mmeo...I LOVE U"
THEN zuga unakata simu....
I swear bro...
Kuna wanaume zaid ya saba watakukazia sura lakini Kuna mjnga lazma atakuuliza
"Samahani kaka,naomba niangalie namba inaishia na ngapi?"β
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2]BRAZA....
Kama unajihisi umeboreka na upo kwenye daladala alafu hamna anaekujali wala kukusemesha....
DO THIS...
Chukua sim yako jifanye unapga namba flan afu sema maneno haya.....
"Samahani mpenzi,siwezi kuja kwako maana nipo kwenye daladala moja na mmeo...I LOVE U"
THEN zuga unakata simu....
I swear bro...
Kuna wanaume zaid ya saba watakukazia sura lakini Kuna mjnga lazma atakuuliza
"Samahani kaka,naomba niangalie namba inaishia na ngapi?"[emoji844]