Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
mkuu wa kaya hana taarifa?
Kwa nini asimsaidie na huyu??
take easy bladaa sio jani la kijani,ni unga na stress za maisha,tokea lini mvuta kaya akawa kicha kama ujui nyamaza mjomba,Nyerere,Kenyatta,aire Selassie ai,Marcus Garvey,Che Guevara,Malcolm x,obama,mbona sio vichaa acha story za vijiweniKwani kuna jingine jipya zaidi,Ya mibangi na mi cocaine wanayoibwia,hafu wanajifanya hajaaga kwao 'aende akafanyiwe tambiko'.SASA tambiko na Bangi wapi na wapi?
take easy bladaa sio jani la kijani,ni unga na stress za maisha,tokea lini mvuta kaya akawa kicha kama ujui nyamaza mjomba,Nyerere,Kenyatta,aire Selassie ai,Marcus Garvey,Che Guevara,Malcolm x,obama,mbona sio vichaa acha story za vijiweni
Ha ha ha ha long time bwana ilimaliza kila kitu!aminia nduguKichaa kimempanga Jery,
baada ya kuvuta mneri
wengi walidhani karogwa na jiran
kumbe mibangi imempanda kichwani.....