Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Safi,wataelewa tu.= habari
= habari
= Magufuli
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ukipewa jibu fanya kunitag.Kayasemea wapi hayo maneno?
Ndo huyo huyo mkuuView attachment 534776
Kwani.......
Huyu ndie Daz Baba unae mzungumzia...[emoji45] [emoji45] [emoji45]
View attachment 534780
Jamaa kadai yuko fiti ile mbaya anaomba selikali ya ngosha impe saportNi mtu Mkubwa huyo....zaidi ya Wasanii..
Serikali imuangalie, asije chukuliwa na Wauwaji wa Kibiti na Rufiji.
Pia wangemuomba awape "SAMPO" ya moja ya kazi zake (Bunduki)
Duhh.....Ndo huyo huyo mkuu
Ngada mbaya sana ComradeView attachment 534776
Kwani.......
Huyu ndie Daz Baba unae mzungumzia...[emoji45] [emoji45] [emoji45]
View attachment 534780
pichaAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Habali kamili
Msanii daz baba kutoka daz nundaz ambalo ni kundi lililopata kutamba hapo miaka ya nyuma amesema tofaut na muziki pia ana uwezo wa kufanya biashara kubwa na ndogo ndogo pia ana uwezo wa kufanya kaz viwandan lakin fan yake kubwa zaid ni kutengeneza bunduki na risasi
Hivyo amemuomba rais magufur amusaidie kufungua kiwanda cha kutengeneza bunduk na risas
Nipe maon yako mdau kuhusu hilo la daz baba
Nawasilisha
LONDON BABY