Daz Baba: Nina uwezo wa kutengeneza bunduki

Daz Baba: Nina uwezo wa kutengeneza bunduki

Ni mtu Mkubwa huyo....zaidi ya Wasanii..

Serikali imuangalie, asije chukuliwa na Wauwaji wa Kibiti na Rufiji.

Pia wangemuomba awape "SAMPO" ya moja ya kazi zake (Bunduki)
 
Ashatengeneza ngapi mpaka sasa? Aliziuza au kuzigawa kwa nani?
 
Ni mtu Mkubwa huyo....zaidi ya Wasanii..

Serikali imuangalie, asije chukuliwa na Wauwaji wa Kibiti na Rufiji.

Pia wangemuomba awape "SAMPO" ya moja ya kazi zake (Bunduki)
Jamaa kadai yuko fiti ile mbaya anaomba selikali ya ngosha impe saport
 
Ndo huyo huyo mkuu
Duhh.....
Kama ndio huyo, basi IGP amkamate kwanza, maana tayari anaonekana ni muhalifu wa mihadarati.
Baada ya hapo ndipo Magufuli amsaidie kufanya kiwanda cha hizo silaha
 
ohoooo gobore ndio bunduki ? maskin watamchukuwa na ndio itakuwa ivo
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habali hapo juu

Habali kamili

Msanii daz baba kutoka daz nundaz ambalo ni kundi lililopata kutamba hapo miaka ya nyuma amesema tofaut na muziki pia ana uwezo wa kufanya biashara kubwa na ndogo ndogo pia ana uwezo wa kufanya kaz viwandan lakin fan yake kubwa zaid ni kutengeneza bunduki na risasi

Hivyo amemuomba rais magufur amusaidie kufungua kiwanda cha kutengeneza bunduk na risas

Nipe maon yako mdau kuhusu hilo la daz baba

Nawasilisha

LONDON BABY
picha
 
Back
Top Bottom