D'banj amlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya nae collable

Nakumbuka kuna mdau aliandika uzi umu unaosema kuwa "Diamond kila anachogusa kinageuka kuwa Almasi"

Now naendelea kuona the relevance kati ya ule uzi na haya yanayoendelea kwa chibu...kweli anaegawa riziki ni mola!
 
Diamond anajituma habweteki na mafanikio aliyonayo. He always want to be the best kama Ronaldo
 

wewe ni punguani,,ndio maana GDP haikui kwani raia kama wewe mnarudisha nyuma taifa hili,,ukikua utaacha!!une cocote
 
wewe ni punguani,,ndio maana GDP haikui kwani raia kama wewe mnarudisha nyuma taifa hili,,ukikua utaacha!!une cocote
Acha bhana mr. genius!!! Enhee, hebu nipe stori za huyo GDP mara moja!! Ina matatizo gani kiasi kwamba haikui na kwa sasa ina umri gani? Ishaanza shule lakini, au bado? Yaani hii dunia hadi tunaiacha tunakuwa tumepitia mitihani mingi, dah! Mpe pole mama ake GDP, yote hiyo ni mitihani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…