Dc Albert Msando wa Handeni aamuru Kukatamatwa Kwa mwandishi wa ITV na kufutwa kwa alichorekodi

Dc Albert Msando wa Handeni aamuru Kukatamatwa Kwa mwandishi wa ITV na kufutwa kwa alichorekodi

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Bw. Albert Msando, ameagiza mwandishi wa Habari wa ITV kukamatwa na kuamuru kufutwa kwa material yote yaliyokuwa yamerekodiwa na mwandishi huyo ambaye anafuatitilia sakata la madereva wa malori ya mchanga kugoma kwa kile kinachodaiwa kutozwa ushuru mkubwa na Halmashauri ya Mji wa Handeni.

 
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Bw. Albert Msando, ameagiza mwandishi wa Habari wa ITV kukamatwa na kuamuru kufutwa kwa material yote yaliyokuwa yamerekodiwa na mwandishi huyo ambaye anafuatitilia sakata la madereva wa malori ya mchanga kugoma kwa kile kinachodaiwa kutozwa ushuru mkubwa na Halmashauri ya Mji wa Handeni.

Superbrand Afrika Mashariki 😀,mkuu WA mkoa kashajichanganya huyu ...Bye bye
 
Mzee wa Get Inspired or Get Angry😃

 
Back
Top Bottom