Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu akutakiwa kuwa kwa ofisi by sunrise ,Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Bw. Albert Msando, ameagiza mwandishi wa Habari wa ITV kukamatwa na kuamuru kufutwa kwa material yote yaliyokuwa yamerekodiwa na mwandishi huyo ambaye anafuatitilia sakata la madereva wa malori ya mchanga kugoma kwa kile kinachodaiwa kutozwa ushuru mkubwa na Halmashauri ya Mji wa Handeni.
Huyu ni get lossMzee wa Get Inspired or Get Angry😃
Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru
Mwanasheria Albert Msando ambaye alipata ummarufu kupiti CHADEMA alipo ukwaa udiwani wa moshi na kupata shavu kadhaa za uwakili sasa ameonesha nyodo za kutosha kupitia ukurasa wake wa instagram kwa kutupia picha mbalimbali za magari yake na mijengo yake na kuwatupia vijembe vijana wengine ambao...www.jamiiforums.com
Hajaja Lumumba , mi na mzee Wasira tumsikilize!Lissu anasemaje?
Chama cha mandezi kilishapoteza hisia wanafosi tu1.Chalamila mbona bado yupo .?!
2.Bashite aliemtukana mkandarasi wa kike kule arusha nae bado yupo
Hao ndio wanapendwa na ccm
Lisu ndiye mmiliki wa itv?Lissu anasemaje?
Naona haya majina ya Albert yana matatizo, yule Albert wa Dar es salaam juzi kuzungumza maneno ya kipumbavu Sasa huyo albert wa handeni na yeye anagombana na waandishi wa habari , jamani akina Albert mna matatizo gani?!Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Bw. Albert Msando, ameagiza mwandishi wa Habari wa ITV kukamatwa na kuamuru kufutwa kwa material yote yaliyokuwa yamerekodiwa na mwandishi huyo ambaye anafuatitilia sakata la madereva wa malori ya mchanga kugoma kwa kile kinachodaiwa kutozwa ushuru mkubwa na Halmashauri ya Mji wa Handeni.
Msando alikiwa Chadema, kumbe tabia za ovyo ni jinsi mtu alivyo.Ulevi wa madaraka ni hatari kuliko ulevi wa unga
Ni zero sawa. Wewe ambaye ni mia ni nani Tanzania hii? PUMBAVU!Huyu DC ni akili zero!
Yeye atoe habari za kukanusha habari za ITV, otherwise ana ingilia uhuru wa habari!
Kwenye rasimu ya katiba ya Tume ya Warioba imependekezwa hiki cheo kifutwe.u- DC , vyeo visivyokuwa na tija kwa Taifa. vifutwe kwa manufaa ya umma
viatu-divai
Bahati mbaya au tuseme nzuri kwake, katiba inamruhusu kufanya atakavyo, labda mkomae ibadilishwe.Mdogo wake Chalamila 🐼