LGE2024 DC Babati: Kura yako ni fyucha ya kitaa

LGE2024 DC Babati: Kura yako ni fyucha ya kitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wananchi Mjini Babati mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza Novemba 27 mwaka huu kupiga kura ili kuwa kuchaguavViongozi waadilifu watakao waongoza katika kuleta maendeleo, huku wakitakiwa kujiepusha na vitendo vya rushwa.

Akizungumza na wananchi, Mkuu wa wilaya ya Babati, Emmanuela Kaganda amewataka vijana na wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ili kuwachaguwa Viongozi wanaowahitaji kwakuwa kura yako ni Fyucha Kitaa.
 
Back
Top Bottom