Pre GE2025 DC Bomboko aagiza kuondolewa mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi shule ya Sekondari Saashisha sababu mradi kusuasua

Pre GE2025 DC Bomboko aagiza kuondolewa mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi shule ya Sekondari Saashisha sababu mradi kusuasua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mkuu wa wilaya ya Hai, Hassan Bomboko ameagiza kuondolewa kwa mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa Mabweni, Vyoo na Nyumba ya mwalimu katika shule ya Sekondari Saashisha kwa kile kinachotajwa kushindwa kutekeleza mradi huo unaotajwa kufikia asilimia 75.

Mradi huo wenye thamani ya kiasi cha sh Milioni 479 ulipaswa kukabidhiwa January 7 mwaka huu hata hivyo hadi sasa imeelezwa kuwa utekelezaji wake umekua wa kusuasua ikiwemo uwepo wa mafundi wachache ikilinganishwa na ukubwa wa mradi huo.

 
Kachukua kasi asiyoiweza
Mpwaaaa

Hawa watu wanacheza sana na pesa zetu mkuuu

YAAN na rukwa hukoo mkuuu aibuu

YAAN Yale majengo mkuu WA wilaya asingeyaonyesha tu AIBU mkuu alafu

Badala yakufukuxa makandarasi anamwita makandarasi huyu fundi sitaki kumwona

Hutaku kumwona kajenga VYUMBA vitatu vyote vina ntufa havijaisha aisee wanatafuta LAANA za watanzania
 
Back
Top Bottom