LGE2024 DC Chamwino: Hakutakuwa na viashiria vya changamoto ya Usalama wakati wa Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja amesema kuwa hali ya usalama ni shwari katika vituo vyote vilivyopo katika vijiji 107 na vitongoji 813 katika Wilaya Hiyo ya Chamwino

Mhe. Mayanja ameyasema hayo Leo Nov 27,2024 wakati akizungumza na Wasafi Media kwenye kituo Cha kupiga kura Cha Sokoine Wilayani humo

Mhe. Mayanja amesema kuwa wamejipanga vizuri na ndio maana vituo vyote vina utulivu na amani na zoezi Hilo linaenda vizuri
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…