DC Handeni aonya wanaonyonya maziwa ya wake zao

Hayo ni mambo ya faragha aache wananchi wa Handeni wale raha za maisha, kunyonya ni hiari !
 
Hivi ni kweli wanaume huwa mna nyonya maziwa ya wake zenu?
 
Maziwa ya mke Ni matamu sheikh. Kuacha kuyanyonya sio rahisi. Hasa ukute mkeo Ni tipwa tipwa.
 
Hivi ni kweli wanaume huwa mna nyonya maziwa ya wake zenu?
Usiniambie hujawahi kumuonjesha mumeo.
Vimada na nyumba ndogo wanaitumia Sana hiyo fursa. Kwanza yanakata pombe, pili yanaongeza nguvu pendwa. Tatu Ni matamu mno.
 
Kwa huu utopolo amevumiliwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…