DC Hassan Bomboko madada poa umewamaliza Dar?

DC Hassan Bomboko madada poa umewamaliza Dar?

Sipendi sana kushare vichocheo vya dhambi maana nitasaidia kuangamiza, baadala yake nakushauri uachane na hizo mambo.

Nina dhambi nyingi sana, namuomba sana Mwenyezi Mungu anipe wepesi na kunitoa kabisa huko na hata nipate mke mwema Mzee mwenzangu maana nina watoto kibao Kila kona ya Dunia different races.

Wapo watu wameoa wake wazuri/waelewa/smart nk wanaenjoy sana maisha na hata hawawezi kuchepuka.
Acha hizo! Unatoa ushauri baada ya kula maisha na kufumua mabinti wa watu!
 
Acha hizo! Unatoa ushauri baada ya kula maisha na kufumua mabinti wa watu!

Hahahahaha hapana mkuu, ndio maana kuna kutubu sitaki kuongelea sana hayo nitachochea hisia za watu na kupelekea kufanya dhambi.

Tujikite zaidi kumuomba Mungu atufanyie wepesi kwenye utafutaji wetu wa ridhki, kwenye kumuabudu, atuepusha na dhulma, wale ndugu zetu viongozi wajali maisha ya watu na Ustawi wao na InshaAllah atujalie mwisho mwema pia.
 
Mbezi mwisho kuna bar moja inaitwa Lubumbashi pale huduma ni 24/7 afu pembeni ya bar kuna Guest house kibao muda wote zimejaa coz malaya wanashikilia vyumba
Acheni kutaja majina basi, Zomboko ataenda kusumbua watu.

Kuna chimbo kama unaenda malamba mawili, wanawake,(siwaiti malaya)ni wazuri sana pale halafu wanajitambua, huduma safi.
 
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!

Biashara ya uchangudoa haiwezi kuisha maana wapo wanaokaa barabarani usiku na wengine wanauza online ,wengine wanauza sehemu za kazi yaani yeye anatafuta ajira hata ya laki kwa mweiz ili mradi aonekane anaenda kazini lakini huko kazini anakula vichwa.
 
H
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
ili andiko akiliona ...so funny
 
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Thubutu yake Wakili msomi Peter Madeleka amemshika makende hawezi tena kurudia!
 
Nilipita majuzi sinza yaani kweupe , wanajificha ficha tu mmoja mmoja...DC endelea kukaza matokeo tunaona Tena makubwa
 
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Wabunge walimkataza kuua soko lao, walimwambia waende kuburudika wapi wakirudi mjini?
 
Vita hii ni yetu sote wapenda maadili safi. Msimwachie mwenyewe, msimbeze, msimkatishe tamaa. Vita ya kupambana na makahaba pamoja na wateja wao haijawahi kuwa rahisi

Prostitution is the oldest profession in the world (Google that)
 
DC kabla hajafika mjini watu wasio na wake walikua wanaponea kwa Malaya. Leo anataka kuwaondoa Malaya, je waliokua wanaponea kwa Malaya wataponea wapi?
Sishangai huyu DC kua DC maana Al haj Nawanda alikua mkuu wa mkoa Tabora alipiga Vita Sana ulawiti kumbe yeye ndio wale wale Tena hata hela ya hotel Hana anatanyia kwenye gari.
 
Ni kama operation so inahitaji muda mrefu hata mwaka.. Force pia na elimu inaendelea kutolewa mpe walahu miezi Sita
 
Nenda Kinondoni kuna mabango yameandikwa hairuhusiwi kuuza milli.
 
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?

Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?

Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
We unawaona barabarani?
 
Kila kazi ina rushwa ya namna yake, kwa hiyo usikute analamba rushwa ya namna yake mpaka katulia...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom