Acha hizo! Unatoa ushauri baada ya kula maisha na kufumua mabinti wa watu!Sipendi sana kushare vichocheo vya dhambi maana nitasaidia kuangamiza, baadala yake nakushauri uachane na hizo mambo.
Nina dhambi nyingi sana, namuomba sana Mwenyezi Mungu anipe wepesi na kunitoa kabisa huko na hata nipate mke mwema Mzee mwenzangu maana nina watoto kibao Kila kona ya Dunia different races.
Wapo watu wameoa wake wazuri/waelewa/smart nk wanaenjoy sana maisha na hata hawawezi kuchepuka.
😂😂😂😂😂 anafeli huyu jamaa ,atoe code watu wakasafishe machoAcha hizo! Unatoa ushauri baada ya kula maisha na kufumua mabinti wa watu!
Acha hizo! Unatoa ushauri baada ya kula maisha na kufumua mabinti wa watu!
😄😄😄Oya Goba chimbo liko wap mkuu, Kuna kipindi walifungua tawi lao pale Lastanza, ila halikudumu nafkiri ni kutokana na uhaba wa wateja
Buku tatu tu kiongozi.Bei ya mwisho kiasi gani?
Acheni kutaja majina basi, Zomboko ataenda kusumbua watu.Mbezi mwisho kuna bar moja inaitwa Lubumbashi pale huduma ni 24/7 afu pembeni ya bar kuna Guest house kibao muda wote zimejaa coz malaya wanashikilia vyumba
Hongera! Mimi nikija hapo nitaongeza jero!Buku tatu tu kiongozi.
Ila mimi mara nyingi nawaachiaga tano.
Hatari Sana.Kumchunga binadamu ni kazi kubwa mnoo hasa kwenye matumizi yake ya ukanda wa pwani i.e papooch na mahogo kivunde.
DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?
Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?
Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
ili andiko akiliona ...so funnyDC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?
Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?
Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Thubutu yake Wakili msomi Peter Madeleka amemshika makende hawezi tena kurudia!DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?
Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?
Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Wabunge walimkataza kuua soko lao, walimwambia waende kuburudika wapi wakirudi mjini?DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?
Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?
Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
We unawaona barabarani?DC Hassan Bomboko wananchi tungependa kupata mrejesho wa kampeni yako ya kuwafagia madada poa wote Jijini Dar umefikia wapi?
Ulianza kwa kasi sana kuwasaka hawa raia wenye uchu wa fedha kuzidi shetani lakini sasa tunaona kimya nini kinaendelea?
Mikoa mingine kama Mwanza, Arusha, Dodoma na Mbeya inatamani kupata uzoefu wako wa kupambana na hii biashara haram ili nayo iweze kuiga na kutokomeza kabisa hawa dada poa!
Wewe unaishi mitaa ipi ambayo hawapo!We unawaona barabarani?