Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

Kwa hiyo huyu bibi ni mkristu.mla nguluwe ?aaaagh hawa mashekh njaa zitawaua ! Wanavamia issue wasizozijua!
 
Heheheee, hatimaye masheik wa Tanzania watetea mfuga nguruwe. Bila shaka na wao ni wala nguruwe!! Tuna uhakika gani kama si walevi pia? BAKWATA inaweza kuwa inaundwa na genge la wahuni fulani ambao hawajui kazi yao ni nini. Wanaendeshwa kwa misingi ya njaa kali. Hivi kila mwanamke anayejifunga kitambaa kichwani ni muislamu au kavaa hijabu?
 
Mkuu kama umenielewa ni vizuri, hayo mengine nenda jukwaa la dini. Mimi nina connection ya pande zote mbili yaani Uislam na Ukristo hivyo sioni haja ya kulumbana na pande zangu zote.

Ni sahihi kaka, lakini ninadhani nina haki ya kurekebisha pale ninapotambua hapana ukweli, just kiung'wana zaidi
 
Ndugu bi fatuma john kimario ni mkristo mkatoriki ktk kanisa la bikira maria mama wa huruma mbezi beach dar es salaam,mume wake ni kiongozi mkubwa ktk kanisa.wanamiliki shamba kubwa la mifugo NGURUWE huko tegeta. Kwanini bakwata wanamfata fata wakati amekwisha badirisha dini na ameolewa na mkristo? Hanapenda kuvaa mitandio kama masista na sio ijabu.

hivi wewe ushawahi kumsikia huyo mama anasema yeye ni muislamu?


kama ni muislamu atuambie anasali msikiti gani?
 
Huyo mama si Muislam wala hajawai kusema hivyo ni CCM ndio wanatapatapa na maji ya shingo
 
Naiona hapa clash of civilization aliyoitabiri Samuel Huntington. Badala ya itikadi sasa vita ni ya tamaduni katika jina la dini. Miaka ya sabini na themanini mwanzoni tungekua tunabishana kuhusu kama kweli mama fatuma joseph kimario ni mjamaa mwenzetu ama ni kupe. Lakini leo tunajadili kama ni mkristo ama muislamu na kwa hilo tunakaribia kutiana vidole machoni. Hahahahaha napenda hii ingawa ni mbaya sana

si kwamba tunajadili jinsi dini inavyotumika vibaya bila kujali huyu ni imani gani na kujaribu kuweka sawa kwa wale wanaoinukuu dini vibaya?
 
Kaka ni wapi kwenye koran kumeandikwa taratibu za ibada au swala waislamu hawana mathehebu na tofauti za ibada?

sijui MSAHAFU unasemaje kuhusu hilo, mie nasimamia DINI MOJA YA KRISTO, wengine wanaiita UKRISTO. Kwa mjibu wa BIBLIA, hakuna madhehebu, wala hayajatamkwa mahala popote pale. Ndicho ninachokijua
 
Ndugu bi fatuma john kimario ni mkristo mkatoriki ktk kanisa la bikira maria mama wa huruma mbezi beach dar es salaam,mume wake ni kiongozi mkubwa ktk kanisa.wanamiliki shamba kubwa la mifugo NGURUWE huko tegeta. Kwanini bakwata wanamfata fata wakati amekwisha badirisha dini na ameolewa na mkristo? Hanapenda kuvaa mitandio kama masista na sio ijabu.


Mashehe wa Bakwata wana akili sana. Kitabu cha koran hakijakataza nguruwe, maana kimewataka waislamu kutafuna hiyo mbuzi katoliki kidharura. Sasa jiulizeni hiyo kitoweo ya dharura itapatikana wapi kama sii kwa watu kama kina Sister Fatuma?
.
 
Heheheee, hatimaye masheik wa Tanzania watetea mfuga nguruwe. Bila shaka na wao ni wala nguruwe!! Tuna uhakika gani kama si walevi pia? BAKWATA inaweza kuwa inaundwa na genge la wahuni fulani ambao hawajui kazi yao ni nini. Wanaendeshwa kwa misingi ya njaa kali. Hivi kila mwanamke anayejifunga kitambaa kichwani ni muislamu au kavaa hijabu?
Unafikiri masheikh hawali nguruwe? mbona wao ndio walaji kuzidi ht wakatoriki?
 
Heheheee, hatimaye masheik wa Tanzania watetea mfuga nguruwe. Bila shaka na wao ni wala nguruwe!! Tuna uhakika gani kama si walevi pia? BAKWATA inaweza kuwa inaundwa na genge la wahuni fulani ambao hawajui kazi yao ni nini. Wanaendeshwa kwa misingi ya njaa kali. Hivi kila mwanamke anayejifunga kitambaa kichwani ni muislamu au kavaa hijabu?

What a joke - kweli nii aiibu.
 
Hii ndo Tanzania bwana hamna mwenye mbio kali za kuweza kuikimbia njaa
 
Chonde chonde VIONGOZI WA DINI njaa zenu zisituletee uchochezi. Wako wapi wale wanazuoni wa Kiislam walioitaka CDM itoa tamko?
 
Siku zote mtu anayeongozwa kwa maslai ya mtu mwengine, mara nyingi Hukurupuka kuongelea jambo aliloambiwa hata bila kulifanyia uchunguzi. Sasa nawauliza BAKWATA mnamfahamu huyu Fatuma Mkuu wa wilaya chimbuko lake? Au mavazi ndiyo yaliyomhalalisha kuwa Muislamu? Basi kila mtu avaaye mtandio ni Muislamu. Ndugu zangu Waislamu Kuweni watu wenye kufanya maamuzi sahihi.
 
Yule jamaa jana aliyeleta habari hii alisema jina la Fatma Joseph Kimario lakini mdau hapo juu anasema Fatma John Kimario ...ukiangalia vizuri kikazi anatambulika kama Fatma L Kimario ....hiyo L ina stand kwa jina gani? wengine tunasali hilo kanisa la Bikira Maria Mama wa Huruma...na wako akina Kimario wengi tu !
 
Mimi bado nawashangaa hawa Bakwata. Hata kama mama huyo angekuwa muislam, mazingira ya vurugu hizo hayakuwa ya kidini. Ni mazingira ya mikikimikiki ya siasa. Sioni hapo dini zinaingiaje? Huku ni kukosa umakini kwa viongozi wa dini. Bora waende shule waache kuongoza watu kwa elimu ya madrasa. Watu hawa ni hatari sana, kwani hawana uwezo wa kuchambua mambo. Wanapotosha jamii.
 
Back
Top Bottom