DC Jerry Muro ashinda kwa kishindo kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM- Taifa

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
DC JERRY MURO ASHINDA KWA KISHINDO KUWA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM- TAIFA.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe. Jerry Cornel Muro anawashukuru sana Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Ikungi kwa kumchagua kwa kishindo cha kura 648 kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa.

#KaziInaendelea.

 
Na ni mtumish wa Umma? Nahisi tuna katiba Mbovu kiliko hata ya Korea Kaskazini, make kote hata Rwanda bado katiba yao ni bora ukiilinganisha na ya Tanzania, na bado raia tuna kenua meno tu na joking nyingi
 
Huyu anayependa mambo haram? Anayependa kuingilia wanawake kinyume na maumbile? Shetani hakika ni baba wa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…