Tetesi: DC Jerry Muro atuhumiwa kumchapa makofi kondakta wa basi wakati akijaribu kujitetea

Tetesi: DC Jerry Muro atuhumiwa kumchapa makofi kondakta wa basi wakati akijaribu kujitetea

NASIKITIKA KWA YANAYOTOKEA ARUSHA ILA OMBI MOJA TU WALE WAZEE WAKULE AWACHEZEWI AWADHARAULIKI NAOMBA MOLA WASIKASIRIKE NAHISI DUNIA ITASIMAMA NUSUSAA
 
Wana JF

Habari za jioni, nimekutana na huu mkasa huko mitandao ya kijamii, kwenye post mojawapo za Jerry Muro, mtanzania mmoja amedai ya kuwa tukio hilo lilitokea huko Arusha ambapo, Kondakta wa basi husika alitoka kwa ajili ya kujitetea baada ya kupakia abiria sehem isiyo husika.

Kama kuna anayeweza kuthibitisha hili.

View attachment 860709
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Mkuu wa vichaa anataka watu wasio naakili kama yeye " so muacheni kichaa apige kazi ...yupo kwenye ubora wa kichaa Chake mwenyewe
 
jerry yupo kama mwanamke hv yani anatabia za kike...anapanic panic ovyo kama mwanamke ambaye hakojoleshwi hv...
amekuwa kituko
 
Back
Top Bottom