johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa wilaya ya Arumeru mh Jerry Muro amesema watendaji wa vijiji wamekuwa na tabia ya kuwataka wakuu wa wilaya watoke ofisini kwenda kuchoma moto mashamba ya bangi ilhali wao madc walishakatazwa na Rais Magufuli.
Muro amesema hayo wakati wa mkutano kati ya mkuu wa mkoa wa Arusha na viongozi wa wilaya ya Arumeru kuhusiana na mashamba ya bangi yaliyogunduliwa wilayani humo.
Source ITV habari
My take; Sikumbuki madc kukatazwa na Rais Magufuli kuchoma mashamba ya bangi
Maendeleo hayana vyama!
Muro amesema hayo wakati wa mkutano kati ya mkuu wa mkoa wa Arusha na viongozi wa wilaya ya Arumeru kuhusiana na mashamba ya bangi yaliyogunduliwa wilayani humo.
Source ITV habari
My take; Sikumbuki madc kukatazwa na Rais Magufuli kuchoma mashamba ya bangi
Maendeleo hayana vyama!