DC Jerry Murro apiga marufuku mijadala ya Katiba

DC Jerry Murro apiga marufuku mijadala ya Katiba

DC wa Ikungi Jerry Muro amepiga marufuku mijadala ya katiba kwa wananchi wa wilaya hiyo pamoja na kusanyiko lolote linaloashiria kuhamasisha wananchi kujadili katiba pamoja na mikutano ya hadhara.DC huyo amesema wilaya hiyo haihitaji katiba bali inahitaji huduma kama maji, shule
Amuulize Sabaya,shauri yake
 
haka kajitu ni kajinga sana, kanafikiri bado kipo ndani ya utawala wa kiwendawazimu!
Mama SSH sio wa type hiyo kuwa makini wewe dc na huna sifa za uongozi ktk utawala wa haki wa mama yetu mpendwa SSH
 
DC wa Ikungi Jerry Muro amepiga marufuku mijadala ya Katiba kwa wananchi wa wilaya hiyo pamoja na kusanyiko lolote linaloashiria kuhamasisha wananchi kujadili katiba pamoja na mikutano ya hadhara. DC huyo amesema wilaya hiyo haihitaji katiba bali inahitaji huduma kama maji, shule

View attachment 1875874
Kajamaa kamechoka kazi kanataka kurudia ufuska wake nakina Gigy
 
DC wa Ikungi Jerry Muro amepiga marufuku mijadala ya Katiba kwa wananchi wa wilaya hiyo pamoja na kusanyiko lolote linaloashiria kuhamasisha wananchi kujadili katiba pamoja na mikutano ya hadhara. DC huyo amesema wilaya hiyo haihitaji katiba bali inahitaji huduma kama maji, shule

View attachment 1875874
Mchaga hopeless sana huyu mwisho wa siku aliokua akijipendekeza kwao wakamtema!!
 
Kama tungekua na Katiba nzuri, huyu mpuuzi leo hii angeendelea kuwa madarakani. Sasa ataula wa chuya
 
Back
Top Bottom