DC Kilolo asema wanaoshabikia Timu za nje kuwekwa ndani kwa kokosa uzalendo

DC Kilolo asema wanaoshabikia Timu za nje kuwekwa ndani kwa kokosa uzalendo

Mkuu wa wilayani ya Kilolo Asia Abdalah amesema atawashughulikia mashabiki wote wanaoshabikia Timu za nje zinapokuja kucheza nchini Tanzania, ameongeza Kama timu ya Tanzania iwe Ni Simba au Yanga inacheza na timu nje Ni lazima watazania wote washangilie timu ya nyumbani kuonyesha uzalendo
Mashabiki wa Yanga wameonywa jumamosi Simba watacheza na TP Mazembe uwanja wa Taifa hivyo wanapaswa kuwaunga mkono watanzania wenzao la sivyo watakula weekend wakiwa ndani.


Source: DarmpyaView attachment 1054420

Sent using Jamii Forums mobile app
Matamko matamko kila aina! sasa hapa anaanzaje?
 
Mkuu wa wilayani ya Kilolo Asia Abdalah amesema atawashughulikia mashabiki wote wanaoshabikia Timu za nje zinapokuja kucheza nchini Tanzania, ameongeza Kama timu ya Tanzania iwe Ni Simba au Yanga inacheza na timu nje Ni lazima watazania wote washangilie timu ya nyumbani kuonyesha uzalendo
Mashabiki wa Yanga wameonywa jumamosi Simba watacheza na TP Mazembe uwanja wa Taifa hivyo wanapaswa kuwaunga mkono watanzania wenzao la sivyo watakula weekend wakiwa ndani.


Source: DarmpyaView attachment 1054420

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana Mkuu wa wilaya, anza na washabiki wa Iringa wanaoshabikia Simba na Yanga badala ya Lipuli ya mkoani kwao. Ukitaka kula haramu kula tembo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria gani halali ya nchi inakuwa imevunjwa na hao mashabiki wa timu ya nje badala ya ndani? Kama timu ya nje inapiga total football kuliko ya ndani kwa nini nisiishangilie? Atawapataje wale watakaokuwa wana-watch nyumbani kuptia luninga au kusikiliza redioni? Au kosa ni hadharani tu? Baada ya kusweka ndani, na watu kutokwenda uwanjani, atakuja na wasiokwenda uwanjani kuswekwa ndani.
 
Anahitaji chanjo ya pepopunda huyo siyo bure.
tapatalk_1553326054742.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa wilayani ya Kilolo Asia Abdalah amesema atawashughulikia mashabiki wote wanaoshabikia Timu za nje zinapokuja kucheza nchini Tanzania, ameongeza Kama timu ya Tanzania iwe Ni Simba au Yanga inacheza na timu nje Ni lazima watazania wote washangilie timu ya nyumbani kuonyesha uzalendo
Mashabiki wa Yanga wameonywa jumamosi Simba watacheza na TP Mazembe uwanja wa Taifa hivyo wanapaswa kuwaunga mkono watanzania wenzao la sivyo watakula weekend wakiwa ndani.


Source: DarmpyaView attachment 1054420

Sent using Jamii Forums mobile app
Mashallah
 
Uzalendo wa nchi inapokuja swala la vyama vya siasa na haki zao sijui unahamia wapi! Sasa kama Yanga wamefungwa mchana na lipuli ambayo ndo kamepanda hivi unawaambiaje wakawashangilie mnyama Simba jioni anayecheza mechi za kimataifa

Nyie Angalieni haki kwanza hayo mnayoyahubiri kwenye utekelezaji zero yatakuja tu
 
Mkuu wa wilayani ya Kilolo Asia Abdalah amesema atawashughulikia mashabiki wote wanaoshabikia Timu za nje zinapokuja kucheza nchini Tanzania, ameongeza Kama timu ya Tanzania iwe Ni Simba au Yanga inacheza na timu nje Ni lazima watazania wote washangilie timu ya nyumbani kuonyesha uzalendo
Mashabiki wa Yanga wameonywa jumamosi Simba watacheza na TP Mazembe uwanja wa Taifa hivyo wanapaswa kuwaunga mkono watanzania wenzao la sivyo watakula weekend wakiwa ndani.


Source: DarmpyaView attachment 1054420

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mmama analazimisha kuingilia mioyo ya mashabiki. Hatari sana, itabidi waongeze majengo ya mahabusu maana idadi hiyo itakuwa ni balaa.
 
MaDC wa matukio ndo hawa ukifuatilia wilaya anayoiongoza ina matatizo debe zima.ujinga ni mzigo
 
yani mimi niache kuishabikia Zamalek eti nikaishabikie Yanga utakuwa uwendawazimu huo, kwani mmeona wapi uzalendo unalazimishwa
 
Labda na yeye ni chixi maana mpangaji mkuu pale magogoni alisema yeye ni kicha a.
 
Back
Top Bottom