Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Haaa haaa haaaa. BTW hivi hawa Nyumbu wanaijua hii mipaka au sisi tu wanadamu??Watakaoathirika ni Yanga SC ya Jangwani, ndo wenye utamaduni huo.
Mbabane Swallows, Nkana FC, JS Saoura, As Vita, Al-Alhy zote hizo waliweka kiherere mbele na sasa wanajiandaa kuishangilia Tp Mazembe.
Wanahama timu za kushangilia utadhani Nyumbu kuhama makazi ya Tanzania kwenda Kenya na Kenya kurejea Tanzania [emoji23] [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app