DC Kinondoni: Fuatilia ujenzi huu holela!

DC Kinondoni: Fuatilia ujenzi huu holela!

Ndinani

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2010
Posts
7,329
Reaction score
4,286
Kuna mtu anajenga jengo linaloelekea kama ni kanisa. Jengo hilo liko jirani na nyumbani ya marehemu Apson aliyekuwa mkurugenzi wa TISS huko Mbezi Beach.Mj enzi wa hili jengo ana asili ya Nigeria na anajenga bila kibari katikati ya makazi sehemu isiyo rasmi kwa kanisa! Sehemu yenyewe imejificha hivyo Inawezekana ikawa ni Pazia ya kufanya biashara haramu kwa kivuri cha dini!
Wahusika fuatilieni ujenzi huu kwani uko katikati ya makazi.
 
1. Jengo linajengwa Mtaa gani
2. Weka Picha kama inawezekana
 
wewe ndio mtoa vibali ndio maana unajua hana kibali? au ni kwasababu linalojengwa ni kanisa? mtachukia nyumba za Mungu hadi lini nyie wafuasi wa mashetani?
 
Kuna mtu anajenga jengo linaloelekea kama ni kanisa. Jengo hilo liko jirani na nyumbani ya marehemu Apson aliyekuwa mkurugenzi wa TISS huko Mbezi Beach.Mj enzi wa hili jengo ana asili ya Nigeria na anajenga bila kibari katikati ya makazi sehemu isiyo rasmi kwa kanisa! Sehemu yenyewe imejificha hivyo Inawezekana ikawa ni Pazia ya kufanya biashara haramu kwa kivuri cha dini!
Wahusika fuatilieni ujenzi huu kwani uko katikati ya makazi.
DC awe mwadilifu, usishangae atafika hapo kavaa miwani ya mbao
 
yaani alipoona linalojengwa ni kanisa tu, yeye sio mfanyakazi wa ardhi mtoa vibali, ameshaconclude hakuna kibali. anachojaribu kufanya ni kutengeneza attention in viongozi wa ardhi waende pale haraka wafanye yale anayopenda yafanyike. ingekuwa inajengwa bar hapo wala asingenyanyua mdomo wake kutoa hayo anayoyaongea, lakini kwasababu linalojengwa ni kanisa, amepoteza hadi MB zake kuchongea. roho ya shetani iliyoko ndani yake ndio inamwendesha, hata hajielewi.
 
wewe ndio mtoa vibali ndio maana unajua hana kibali? au ni kwasababu linalojengwa ni kanisa? mtachukia nyumba za Mungu hadi lini nyie wafuasi wa mashetani?
nyumba ya Mungu hii iko wapi?
 
1. Jengo linajengwa Mtaa gani
2. Weka Picha kama inawezekana
Jengo liko Mbezi Beach nyuma ya nyumba ya marehemu Apson aliyekuwa usalama Taifa ; njia ya kwenda Rungwe!! Kuna njia ubavu ni mwa barabara inayoelekea huko kwenye gate la kuingilia!!
 
nyumba ya Mungu hii iko wapi?
nimesema nyumba ya Mungu kwa maana sehemu watu wanakutanikia na kumwabudu. walipo wawili watatu wamekusanyika kwa ajili yangu,mimi nipo papo hapo kati yao.
 
Kuna mtu anajenga jengo linaloelekea kama ni kanisa. Jengo hilo liko jirani na nyumbani ya marehemu Apson aliyekuwa mkurugenzi wa TISS huko Mbezi Beach.Mj enzi wa hili jengo ana asili ya Nigeria na anajenga bila kibari katikati ya makazi sehemu isiyo rasmi kwa kanisa! Sehemu yenyewe imejificha hivyo Inawezekana ikawa ni Pazia ya kufanya biashara haramu kwa kivuri cha dini!
Wahusika fuatilieni ujenzi huu kwani uko katikati ya makazi.
Weka picha ya jengo na huyo Mnaijeria, hii ni fursa
 
yaani alipoona linalojengwa ni kanisa tu, yeye sio mfanyakazi wa ardhi mtoa vibali, ameshaconclude hakuna kibali. anachojaribu kufanya ni kutengeneza attention in viongozi wa ardhi waende pale haraka wafanye yale anayopenda yafanyike. ingekuwa inajengwa bar hapo wala asingenyanyua mdomo wake kutoa hayo anayoyaongea, lakini kwasababu linalojengwa ni kanisa, amepoteza hadi MB zake kuchongea. roho ya shetani iliyoko ndani yake ndio inamwendesha, hata hajielewi.
Hata ingekuwa msikitini au synagogue ningesema kwani serikali imetengeneza sehemu maalum za nyumba za ibada!! Kwavile siku hizi mmefanya dini zenu ni biashara ndio maana mnavunja sheria? Nani asiyejua kuwa mnatumia madhehebu yenu kufanya uhalifu?
 
Hata ingekuwa msikitini au synagogue ningesema kwani serikali imetengeneza sehemu maalum za nyumba za ibada!! Kwavile siku hizi mmefanya dini zenu ni biashara ndio maana mnavunja sheria? Nani asiyejua kuwa mnatumia madhehebu yenu kufanya uhalifu?
jua kuwa sehemu hiyo huwa unaweza kuomba kubadilisha matumizi yake, na wewe raia unayeishi mabonde kuinama huko unaweza kuwa hujui kilichotokea. cha muhimu acha chuki dhidi ya makanisa, hawajengi kwa pesa yako, zaidi sana watoto wako wataenda kusoma kwenye shule zao.
 
jua kuwa sehemu hiyo huwa unaweza kuomba kubadilisha matumizi yake, na wewe raia unayeishi mabonde kuinama huko unaweza kuwa hujui kilichotokea. cha muhimu acha chuki dhidi ya makanisa, hawajengi kwa pesa yako, zaidi sana watoto wako wataenda kusoma kwenye shule zao.
Kuomba kubadilisha matumizi ya kiwanja kuna taratibu zake zinazowahusisha majirani wa sehemu husika!! Haya makanisa ya Hawa wageni yanatumika kwa uhalifu. Wanageria wengi hutumia uzuzu wenu kuanzisha haya makanisa uchwara kuuza madawa ya kulevya!
 
Kuomba kubadilisha matumizi ya kiwanja kuna taratibu zake zinazowahusisha majirani wa sehemu husika!! Haya makanisa ya Hawa wageni yanatumika kwa uhalifu. Wanageria wengi huyumia uzuzu wenu kuanzisha haya makanisa uchwara kuuza madawa ya kulevya!
hakuna kanisa geni ndugu, shida huwa huendi makanisani na una chuki na makanisa.
 
Andika barua kwa DC ukimkopi mkuu wa mkoa na takukuru mkoa na NEMC.
Ukimfahamisha kwamba Kuna bwege anajenga ilhali Hana kibali Cha ujenzi, Hana kibali Cha kuishi na kufanya kazi nchini halafu kanisa lake halina usajili.
Thank me later.
 
Mbezi beach kwa makanisa shkamooni
Ukichunguza wanaoendesha hayo makanisa ni wageni hasa wanigeria ambao wanafahamika kwa biashara ya madawa ya kulevya hivyo kutumia mwavuli wa kanisa kuficha madudu yao! Wanajenga makanisa yao sehemu za matajiri kwani ndio kwenye soko la bidhaa zao!
 
Back
Top Bottom