M-tanzania huwezi kwenda Nigeria wakakupa kiwanja Mbezi Beach ya Lagos
halafu kutoka kwenyewe umetoka kwa mchongo wa kanisa, yani uende Nigeria uanzishe kanisa halafu wajue ni mpogoro wa Kilombero! Watakuja usiku kukupasua fuvu!
Sisi ni mazezeta, hatujui thamani ya vitu vyetu, kila kitu tunagawa bure, hata ambapo tukigawa tunakuwa dis-placed, tunakwenda uswazi, tuko comfortable kuwa masikini wachafu mbele ya mgeni... hata mgeni M-nigeria tunamfagilia, mchawi, mla ugali wa fufu, anae run a corrupt failed state, terrorism-plagued country, bado tunamfagilia