Wewe ni lazima mdau wa biashara za hizo nyumba za ibada!hakuna kanisa geni ndugu, shida huwa huendi makanisani na una chuki na makanisa.
hata kwenu mnafanya biashara, unaonekana mdini. acha watu waabudi jombaa.Wewe ni lazima mdau wa biashara za hizo nyumba za ibada!!
Usitumie dini kuvunja sheria za nchi!hata kwenu mnafanya biashara, unaonekana mdini. acha watu waabudi jombaa.
Sio roho mbaya, wote tunapaswa kuwa hivyo. Huo ni uwajibikajiWabongo tuna roho mbaya
Kama mwenye jengo ni Mnijeria, basi kaishaona fursa hapo. Anaanza kwanza na kanisa ili apate hela za kwenda kujenga kwao Nigeria, na kuendesha maisha yake kupitia sadaka za wadanganywa nyika au tuite tu watanganyika, na pili huenda amegundua hilo eneo ni zuri kwa zile biashara zao ambazo huwa wanazifanya katika nchi ya kigeni. Haiwezekani Mnigeria ashindwe kutangaza neno la Mungu kwao kulipojaa matapeli wa kimataifa, wauza unga nk aje atangaze katika nchi nyingine ya watu. Inamaana wanaijeria walishaona nchi zingine ndo zinadhambi sana kuliko nchi yao. Mwananchi amka, acha kufanywa daraja la kufikia mafanikio ya watu wengine.wewe ndio mtoa vibali ndio maana unajua hana kibali? au ni kwasababu linalojengwa ni kanisa? mtachukia nyumba za Mungu hadi lini nyie wafuasi wa mashetani?
DuuhUkichunguza wanaoendesha hayo makanisa ni wageni hasa wanigeria ambao wanafahamika kwa biashara ya madawa ya kulevya hivyo kutumia mwavuli wa kanisa kuficha madudu yao! Wanajenga makanisa yao sehemu za matajiri kwani ndio kwenye soko la bidhaa zao!
Ahsante kwa taarifa...
Umeshapewa taarifa toka kwenye kiti kachunguze unataka usaidiwe hadi picha. Kazi kusoma mafaili tu amka nenda field1. Jengo linajengwa Mtaa gani
2. Weka Picha kama inawezekana