Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mkuu wa Wilaya ya Lindi- Victoria Mwanziva ameendelea na ziara ya Kata kwa Kata katika Wilaya ya Lindi; na ziara hii inafanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na imetoa uwanda mpana wa kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Aidha, DC Mwanziva amefanikiwa kufanya ukaguzi wa miradi ya Afya, Elimu, Maji kata ya Kitomanga na mkutano wa hadhara na wananchi wa Kata ya Kitomanga, Manispaa ya Lindi.
DC Mwanziva amekagua utoaji wa huduma za afya katika wodi ya mama na mtoto- na kutoa mahitaji kwa wakinamama waliojifungua- katika kituo cha afya Kitomanga.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Aidha, DC Mwanziva amefanikiwa kufanya ukaguzi wa miradi ya Afya, Elimu, Maji kata ya Kitomanga na mkutano wa hadhara na wananchi wa Kata ya Kitomanga, Manispaa ya Lindi.
DC Mwanziva amekagua utoaji wa huduma za afya katika wodi ya mama na mtoto- na kutoa mahitaji kwa wakinamama waliojifungua- katika kituo cha afya Kitomanga.