DOKEZO DC Magembe (Geita) ni muongo, anastahili kuchunguzwa na mamlaka

DOKEZO DC Magembe (Geita) ni muongo, anastahili kuchunguzwa na mamlaka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hapo hujathibitisha kama hakuchukua pesa yoyote ya Halmashauri ya Geita kwa ajili ya safari hiyo.

Lakini inavyosemekana huyo Mkurugenzi ni fisadi sana.Inawezekana hiyo safari hajafisidi chochote.

Lakini Takukuru wakijiongeza na kumchunguza kwenye eneo la miradi na manunuzi watagundua mambo yasiyofaa mengi sana.

Hapa Geita inasekana anaogopwa kwa sababu ni "mtoto wa ikulu"
Huyu Mkurugenzi hafai anatumia vibaya sn fedha za umma na ni mwizi
 
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi

Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.

Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa kufuata taratibu zote na gharama za safari hiyo hazikulipwa na serikali bali waliomwalika (angalia kiambatanisho hapa chini).

View attachment 2797135
View attachment 2797136
View attachment 2797143

Sasa, PCCB mchunguzeni vema huyu DC kwani anafanya biashara ya madini na kwa sasa anakusanya hela akagombee ubunge huko Chato ila hakubaliki kwani wanamuona ni kiburi, mtata na mgomvi.

Mamlaka zitakuwa na taarifa kuwa aliwahi kumchapa makofi DED alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe!

Huyu ni mtu mmoja wa maigizo. Akiwa DC wa Ukerere enzi za Awamu ya Tano (2019) aliwahi kuibuka na madai yaliyolenga kuwachafua wenzake na kumfanya yeye aonekane mchapakazi mbele za mamlaka.

Wakati huo alidai zaidi ya shilingi milioni 881 za Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu akiwachafua watu sita akiwemo Mganga Mfawidhi wa Wilaya wa wakati huo (Revocatus Cleophace) huku akitoa siku 14 kwa Mkurugenzi wa Wilaya (wakati huo alikuwa Ester Chaula), Mweka Hazina na Afisa Mapato wa Halmashauri hiyo kurudisha pesa hizo.

Angalia hapa:


View: https://www.youtube.com/watch?v=h5Ak9ves9dE



DC amesema Mkurugenzi mara nyingi anakaimisha

So atakuwa anasafiri Sana inje ya inchi hii ya china sio mara yake ya kwanza
 
Umefanya jambo jema sana kuweka ushahidi huo wa kinyaraka maana mimi mwenyewe niliona ni kama kuna jambo halijakaa sawa ,maana isingewezekana DED asafiri tu kienyeji.

Kwanza mkurugenzi angepeleka hizo nyaraka zake Kwa boss wake

Pili hoja ya DC ni kuwa kwenye vikao muhimu mkurugenzi anakuwa Safari

Hii tabia itakuwa ni mara nyingi sana

Sidhan kama DC ana makosa hapa
 
Kwanza mkurugenzi angepeleka hizo nyaraka zake Kwa boss wake

Pili hoja ya DC ni kuwa kwenye vikao muhimu mkurugenzi anakuwa Safari

Hii tabia itakuwa ni mara nyingi sana

Sidhan kama DC ana makosa hapa
DC yupo sahihi
 
Kwaiyo hizo Barua za DED kwenda nje ya nchi,DC haruhusiwi kuziona?mbona naona kama DC hana taarifa!
DED hareport kwa DC, sasa DC apewe taarifa za kazu za DED kama nani?

MaDC ni manyapara tu ya ccm hakuna la zaidi
 
Zahra Michuzi ni Binti wa Muhidin Issa Michuzi, mpiga picha maarufu mstaafu wa Daily News na kisha akahudumu kama mpiga picha wa Ikulu kipindi cha Awamu ya 4 akiwa chini ya Salva Rweyemamu.

Binti kapata kazi kwa influence ya baba na siyo weledi wake. Angekuwa na weledi asingeganya anayoyafanya. Kwanza anaonekana hana unyenyekevu kwa Raisi wa Wilaya (DC). Pili anaonekana hajui mamlaka ya DED ni nini? Na tatu anavunja sheria ya utunzaji nyaraka za serikali. Hamna namna anaweza akatoka kwenye tuhuma ya kuiweka wazi barua ya RAS kumpa ruksa kwenda China.

Amemdhalilisha Baba yake Muhidin Issa Michuzi aliyempigia debe akapata kazi hiyo

Nashauri TISS Wilaya/Mkoa watoe dokezo la siri kwa Mamlaka ya Uteuzi ili kuondoa mediocrity kwenye ofisi za serikali.

USHAURI:
Ifike mahali Rais arudi kwenye mfumo wa zamani wa kuteua Ma DED. Ma DED kabla ya 2016 alipokuja Mwendazake walikuwa wanatokana kwenye safu za utumishi za Halmashuri za Serikali za Mitaa
Mtu anaanza kama Ofisa Mipango III, Mhasibu, Mhandisi, DMO etc ambaye ametoka chuo, kisha hupanda ngazi mbalimbali hadi kufikia kuwa mkuu wa idara kwenye Halmashauri husika kama Municipal Engineer, Treasurer, District Planning Officer etc.

Kisha zinapotokea nafasi zilizowazi kwenye Halmashauri fulani ndipo Waziri wa Tamisemi kupitia Katibu Mkuu wake wanaangalia kanzidata yao ya human resources na kuchagua wale wanaoona wanafaaa na kisha kuwapendekeza kwa Rais. Naye Rais baada ya vetting ndipo anaridhia.
 
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi

Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.

Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa kufuata taratibu zote na gharama za safari hiyo hazikulipwa na serikali bali waliomwalika (angalia kiambatanisho hapa chini).

View attachment 2797135
View attachment 2797136
View attachment 2797143

Sasa, PCCB mchunguzeni vema huyu DC kwani anafanya biashara ya madini na kwa sasa anakusanya hela akagombee ubunge huko Chato ila hakubaliki kwani wanamuona ni kiburi, mtata na mgomvi.

Mamlaka zitakuwa na taarifa kuwa aliwahi kumchapa makofi DED alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe!

Huyu ni mtu mmoja wa maigizo. Akiwa DC wa Ukerere enzi za Awamu ya Tano (2019) aliwahi kuibuka na madai yaliyolenga kuwachafua wenzake na kumfanya yeye aonekane mchapakazi mbele za mamlaka.

Wakati huo alidai zaidi ya shilingi milioni 881 za Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu akiwachafua watu sita akiwemo Mganga Mfawidhi wa Wilaya wa wakati huo (Revocatus Cleophace) huku akitoa siku 14 kwa Mkurugenzi wa Wilaya (wakati huo alikuwa Ester Chaula), Mweka Hazina na Afisa Mapato wa Halmashauri hiyo kurudisha pesa hizo.

Angalia hapa:


View: https://www.youtube.com/watch?v=h5Ak9ves9dE

Natamani mamlka za uteuzi ziniteue leo hii halafu zinikabidhi mimi mtu kama huyu anayependa kuvuruga wenzake
 
mamlaka iliyomteau huyu mkuu wa Wilaya ndo ya hovyo kupita uovyo wa Dc mwenyewe.
ili LIKUULAWILAYA lilipo tolewa ukurewe, liliiba furniture za ofisi na nyumba aliyofikia uwezi amini na tulilisema kupitia hapa, aliiba mpaka dodoki za choo,

Bado kama haitoshi ni miongoni mwa waujumu wa vyama vya Ushirika mathalani ukienda pale MAGU TEACHERS SACCOS alichukua mkopo na halipi nashindwa kuelewa mamlaka zinazomfanyia VETTING huyu jamaa hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi, nasikia nafasi hii aliipata kwa sababu baba yake alikuwa dr wa JPM, NDO KINACHOMBEBA MPAKA LEO.
 
Back
Top Bottom