Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu Mkurugenzi hafai anatumia vibaya sn fedha za umma na ni mwiziHapo hujathibitisha kama hakuchukua pesa yoyote ya Halmashauri ya Geita kwa ajili ya safari hiyo.
Lakini inavyosemekana huyo Mkurugenzi ni fisadi sana.Inawezekana hiyo safari hajafisidi chochote.
Lakini Takukuru wakijiongeza na kumchunguza kwenye eneo la miradi na manunuzi watagundua mambo yasiyofaa mengi sana.
Hapa Geita inasekana anaogopwa kwa sababu ni "mtoto wa ikulu"
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi
Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.
Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa kufuata taratibu zote na gharama za safari hiyo hazikulipwa na serikali bali waliomwalika (angalia kiambatanisho hapa chini).
View attachment 2797135
View attachment 2797136
View attachment 2797143
Sasa, PCCB mchunguzeni vema huyu DC kwani anafanya biashara ya madini na kwa sasa anakusanya hela akagombee ubunge huko Chato ila hakubaliki kwani wanamuona ni kiburi, mtata na mgomvi.
Mamlaka zitakuwa na taarifa kuwa aliwahi kumchapa makofi DED alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe!
Huyu ni mtu mmoja wa maigizo. Akiwa DC wa Ukerere enzi za Awamu ya Tano (2019) aliwahi kuibuka na madai yaliyolenga kuwachafua wenzake na kumfanya yeye aonekane mchapakazi mbele za mamlaka.
Wakati huo alidai zaidi ya shilingi milioni 881 za Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu akiwachafua watu sita akiwemo Mganga Mfawidhi wa Wilaya wa wakati huo (Revocatus Cleophace) huku akitoa siku 14 kwa Mkurugenzi wa Wilaya (wakati huo alikuwa Ester Chaula), Mweka Hazina na Afisa Mapato wa Halmashauri hiyo kurudisha pesa hizo.
Angalia hapa:
View: https://www.youtube.com/watch?v=h5Ak9ves9dE
Umefanya jambo jema sana kuweka ushahidi huo wa kinyaraka maana mimi mwenyewe niliona ni kama kuna jambo halijakaa sawa ,maana isingewezekana DED asafiri tu kienyeji.
Kwanza anamdharau DCDC amesema Mkurugenzi mara nyingi anakaimisha
So atakuwa anasafiri Sana inje ya inchi hii ya china sio mara yake ya kwanza
Wachai wakubwa wa nyama za watu haoHuko ndiko fitina zilikolala asiewajua nani hao
Ndio maana pale kuna anonymous pia ameclarify hali ya hewa na kutoa sintofahamu na uzishi wa DC au wewe ndio DC sasa unaona unadharirika?tuwekee na kibali cha kutoa nyaraka za serikali hadharani, kwahiyo wewe umekuwa takukuru?
Elezea shida yake.Huyu DC ana tatizo kubwa, mamlaka impige chini haraka huyu, ni shida huyu
DC yupo sahihiKwanza mkurugenzi angepeleka hizo nyaraka zake Kwa boss wake
Pili hoja ya DC ni kuwa kwenye vikao muhimu mkurugenzi anakuwa Safari
Hii tabia itakuwa ni mara nyingi sana
Sidhan kama DC ana makosa hapa
kabisa mkuu, ni vile watu hawajastukiwa ila ukweli nchi hii wote tu waovu ni vile hatujagusa kwenye mfupaNchi hii raia yoyote achilia mbali DED yaan raia yoyote akichunguzwa anaenda Jela
😳😳😳😳He yamekuwa hayo?🤣🤣🤣🤣🤣Wachai wakubwa wa nyama za watu hao
DED hareport kwa DC, sasa DC apewe taarifa za kazu za DED kama nani?Kwaiyo hizo Barua za DED kwenda nje ya nchi,DC haruhusiwi kuziona?mbona naona kama DC hana taarifa!
Msimamizi mkuu wa shughuli ndani ya Wilaya ni DC, na ruhusa yoyote lazima DC apewe nakalaDED hareport kwa DC, sasa DC apewe taarifa za kazu za DED kama nani?
MaDC ni manyapara tu ya ccm hakuna la zaidi
Natamani mamlka za uteuzi ziniteue leo hii halafu zinikabidhi mimi mtu kama huyu anayependa kuvuruga wenzakeNatambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi
Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo.
Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa kufuata taratibu zote na gharama za safari hiyo hazikulipwa na serikali bali waliomwalika (angalia kiambatanisho hapa chini).
View attachment 2797135
View attachment 2797136
View attachment 2797143
Sasa, PCCB mchunguzeni vema huyu DC kwani anafanya biashara ya madini na kwa sasa anakusanya hela akagombee ubunge huko Chato ila hakubaliki kwani wanamuona ni kiburi, mtata na mgomvi.
Mamlaka zitakuwa na taarifa kuwa aliwahi kumchapa makofi DED alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe!
Huyu ni mtu mmoja wa maigizo. Akiwa DC wa Ukerere enzi za Awamu ya Tano (2019) aliwahi kuibuka na madai yaliyolenga kuwachafua wenzake na kumfanya yeye aonekane mchapakazi mbele za mamlaka.
Wakati huo alidai zaidi ya shilingi milioni 881 za Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe zilikuwa zimefanyiwa ubadhirifu akiwachafua watu sita akiwemo Mganga Mfawidhi wa Wilaya wa wakati huo (Revocatus Cleophace) huku akitoa siku 14 kwa Mkurugenzi wa Wilaya (wakati huo alikuwa Ester Chaula), Mweka Hazina na Afisa Mapato wa Halmashauri hiyo kurudisha pesa hizo.
Angalia hapa:
View: https://www.youtube.com/watch?v=h5Ak9ves9dE