Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Ingetegemea na utetezi wao na makosa yao. Wangeweza kuonywa au kufukuzwa. Kama hakukuwa na sababu nzito za kuchelewa kwao, na baada ya vikao vya kinidhamu kwa mujibu wa sheria, hao watumishi walipaswa kuachishwa kazi
Kuachishwa kazi kwa kuchelewa kwa masaa3?
Ndo maana nasema sio kila mahali hizo sheria zinatakiwa ziamuliwe kama zilivyo !!
Muda mwingine " kanuni na utaratibu "" ufuatwe .
Viongozi watumie busara zaidi!!