Tetesi: DC Malinyi amevuruga uchaguzi wetu UVCCM wilaya

Tetesi: DC Malinyi amevuruga uchaguzi wetu UVCCM wilaya

acer

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
1,595
Reaction score
142
UVCCM MALINYI: DC AMEVURUGA UCHAGUZI WETU

"Katika hali isiyotarajiwa mkuu wa wilaya yetu alifika kwenye ukumbi wa uchaguzi pamoja na kwamba hakuwa mgeni mwaalikwa wala mgeni rasmi,alijipa jukumu la kuwa mgeni rasmi na msimamizi wa uchaguzi wetu huu"

Hiyo ni kauli ya katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Malinyi akimshutumu mkuu wa wilaya mh Kasika kuvuruga uchaguzi wao wa vijana ambapo mwenyekiti wa halmashauri hiyo ndiye aliyekuwa mgeni rasmi, taarifa za ndani zinasema mkuu wa wilaya huyu mara baada ya kuingia aliwatoa nje makatibu wote wa UVCCM wa wilaya na Chama wilaya kwa madai ya kwamba wanatumika kwa maslahi ya mbunge wa jimbo hilo la Malinyi, lakini katika mchakato wa uchaguzi ukiendelea mkuu huyo wa wilaya alionekana kumpendelea mgombea mmoja kati ya wale watatu ambaye anaitwa Joseph.

Akieleza kwa uchungu katibu wa wazazi wilaya ,ameeleza inakuaje toka tumeanza uchaguzi kwenye mashina,kwneye kata, hakuonekana kuja hata ofisini kufahamu uchaguzi unaendeleaje leo ghafla tu anatoka huko na kutuvamia.

Kuelekea mwishoni mwa mkutano huu wa uchaguzi, bila kutimua mbio mkuu wa wilaya hii alishakana(kukunjana mashati) na katibu wa UVCCM wa wilaya aitwaye Mariam nusura amchape kofi mh mkuu wa wilaya baada ya kuanza kutoa maneno na kauli chafu mbele ya wajumbe wote dhidi ya sekretariet ,viongozi wa chama wilaya na madiwani.

Wajumbe wamelaani vikali kitendo hiki kilichofanywa na mh mkuu wa wilaya.

Imethibitika kuwa mkuu wa wilaya amekuwa na tofauti baina yake na viongozi mwenzake kupelekea kukosa ushirikiano kwa viongozi wote wa chama na serikali,waliochaguliwa na walioteuliwa pamoja na wakuu wa idara ndani ya halmashauri ya wilaya ya Malinyi.
 
ni matumain yangu huyo katibu atamzukia huyo dc ampe vitasa vya haja! haiwezekan tunachagua Ma UKUKU yetu halaf dc anazingua!! maza fanta zake dc!!!!
 
mlipokuwa mnatuimbia ule wimbo mlijifanya wajanja. Lisu alionya mapema mwelekeo wa tunakokwenda. vumilieni
 
*UVCCM MALINYI: DC AMEVURUGA UCHAGUZI WETU*
"Katika hali isiyotarajiwa mkuu wa wilaya yetu alifika kwenye ukumbi wa uchaguzi pamoja na kwamba hakuwa mgeni mwaalikwa wala mgeni rasmi,alijipa jukumu la kuwa mgeni rasmi na msimamizi wa uchaguzi wetu huu"
Hiyo ni kauli ya katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Malinyi akimshutumu mkuu wa wilaya mh Kasika kuvuruga uchaguzi wao wa vijana ambapo mwenyekiti wa halmashauri hiyo ndiye aliyekuwa mgeni rasmi, taarifa za ndani zinasema mkuu wa wilaya huyu mara baada ya kuingia aliwatoa nje makatibu wote wa UVCCM wa wilaya na Chama wilaya kwa madai ya kwamba wanatumika kwa maslahi ya mbunge wa jimbo hilo la Malinyi, lakini katika mchakato wa uchaguzi ukiendelea mkuu huyo wa wilaya alionekana kumpendelea mgombea mmoja kati ya wale watatu ambaye anaitwa Joseph.
Akieleza kwa uchungu katibu wa wazazi wilaya ,ameeleza inakuaje toka tumeanza uchaguzi kwenye mashina,kwneye kata, hakuonekana kuja hata ofisini kufahamu uchaguzi unaendeleaje leo ghafla tu anatoka huko na kutuvamia.
Kuelekea mwishoni mwa mkutano huu wa uchaguzi, bila kutimua mbio mkuu wa wilaya hii alishakana(kukunjana mashati) na katibu wa UVCCM wa wilaya aitwaye Mariam nusura amchape kofi mh mkuu wa wilaya baada ya kuanza kutoa maneno na kauli chafu mbele ya wajumbe wote dhidi ya sekretariet ,viongozi wa chama wilaya na madiwani.
Wajumbe wamelaani vikali kitendo hiki kilichofanywa na mh mkuu wa wilaya.
Imethibitika kuwa mkuu wa wilaya amekuwa na tofauti baina yake na viongozi mwenzake kupelekea kukosa ushirikiano kwa viongozi wote wa chama na serikali,waliochaguliwa na walioteuliwa pamoja na wakuu wa idara ndani ya halmashauri ya wilaya ya Malinyi.

We naye unasumbuliwa na njaa, tunajua mchezo mzima mnaocheza na huyo mfadhili wako njaa mbaya sana, unapomhujumu mkuu wa wilaya kwa kuhongwa unadhani inakusaidia wewe? wenye akili tulishasoma mchezo siku nyingi, weka ushahidi hapa, lete source vinginevyo ni mwendelezo wa chuki, wivu na uzandiki juu ya DC wa Malinyi.
 
Nikajua aliyejipa ugeni rasmi hajulikani.
 
Hata mkicharangana mapanga poa tu
*UVCCM MALINYI: DC AMEVURUGA UCHAGUZI WETU*
"Katika hali isiyotarajiwa mkuu wa wilaya yetu alifika kwenye ukumbi wa uchaguzi pamoja na kwamba hakuwa mgeni mwaalikwa wala mgeni rasmi,alijipa jukumu la kuwa mgeni rasmi na msimamizi wa uchaguzi wetu huu"
Hiyo ni kauli ya katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Malinyi akimshutumu mkuu wa wilaya mh Kasika kuvuruga uchaguzi wao wa vijana ambapo mwenyekiti wa halmashauri hiyo ndiye aliyekuwa mgeni rasmi, taarifa za ndani zinasema mkuu wa wilaya huyu mara baada ya kuingia aliwatoa nje makatibu wote wa UVCCM wa wilaya na Chama wilaya kwa madai ya kwamba wanatumika kwa maslahi ya mbunge wa jimbo hilo la Malinyi, lakini katika mchakato wa uchaguzi ukiendelea mkuu huyo wa wilaya alionekana kumpendelea mgombea mmoja kati ya wale watatu ambaye anaitwa Joseph.
Akieleza kwa uchungu katibu wa wazazi wilaya ,ameeleza inakuaje toka tumeanza uchaguzi kwenye mashina,kwneye kata, hakuonekana kuja hata ofisini kufahamu uchaguzi unaendeleaje leo ghafla tu anatoka huko na kutuvamia.
Kuelekea mwishoni mwa mkutano huu wa uchaguzi, bila kutimua mbio mkuu wa wilaya hii alishakana(kukunjana mashati) na katibu wa UVCCM wa wilaya aitwaye Mariam nusura amchape kofi mh mkuu wa wilaya baada ya kuanza kutoa maneno na kauli chafu mbele ya wajumbe wote dhidi ya sekretariet ,viongozi wa chama wilaya na madiwani.
Wajumbe wamelaani vikali kitendo hiki kilichofanywa na mh mkuu wa wilaya.
Imethibitika kuwa mkuu wa wilaya amekuwa na tofauti baina yake na viongozi mwenzake kupelekea kukosa ushirikiano kwa viongozi wote wa chama na serikali,waliochaguliwa na walioteuliwa pamoja na wakuu wa idara ndani ya halmashauri ya wilaya ya Malinyi.
 
Wapumbavu wakubwa na ccm yenu. hata yule mkuu hutumia neno pumbavu sio tusi.
 
Back
Top Bottom