Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu wakiamka wanevimbiwa basi hujiropokea tu watakavyo bila kutafakari athari ya matamshi yaoMkuu wa Wilaya ya Moshi, James Kaji, amesema hatawavumilia watumishi wazembe na kuagiza majina ya waliokwepa kushiriki maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika yawasilishwe kwake mara moja ili wachukuliwe hatua.
Kaji ametoa onyo hilo leo Jumatatu, Desemba 9, 2024, wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Viwanja vya Mashujaa, Manispaa ya Moshi, yakitanguliwa na shughuli za usafi katika makaburi ya Karanga.
Amesema uzembe wa baadhi ya watumishi wa umma unakwamisha juhudi za maendeleo zinazofanywa na Serikali na kuahidi kuchukua hatua kali dhidi yao.
"Watumishi wengi hawawajibiki mpaka wasukumwe au kushikiwa fimbo. Nchi hii ni yetu sote, sitavumilia uzembe huu. Wapo watu mitaani wanazunguka na vyeti hawana kazi, ninyi mmepata nafasi msichezee nafasi hizi. Nitachukua hatua kali kwa wote waliokwepa kushiriki maadhimisho haya kwa kuwa hiyo ni dharau," amesema Kaji.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Mwajuma Nasombe, amesema kwa kushirikiana na wadau, wamefanya usafi katika makaburi ya Karanga, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha usafi wa mji.
Amelewa CHIMPUMU sio bureee 🤣🤣😂😂😂Mkuu wa Wilaya ya Moshi, James Kaji, amesema hatawavumilia watumishi wazembe na kuagiza majina ya waliokwepa kushiriki maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika yawasilishwe kwake mara moja ili wachukuliwe hatua.
Kaji ametoa onyo hilo leo Jumatatu, Desemba 9, 2024, wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Viwanja vya Mashujaa, Manispaa ya Moshi, yakitanguliwa na shughuli za usafi katika makaburi ya Karanga.
Amesema uzembe wa baadhi ya watumishi wa umma unakwamisha juhudi za maendeleo zinazofanywa na Serikali na kuahidi kuchukua hatua kali dhidi yao.
"Watumishi wengi hawawajibiki mpaka wasukumwe au kushikiwa fimbo. Nchi hii ni yetu sote, sitavumilia uzembe huu. Wapo watu mitaani wanazunguka na vyeti hawana kazi, ninyi mmepata nafasi msichezee nafasi hizi. Nitachukua hatua kali kwa wote waliokwepa kushiriki maadhimisho haya kwa kuwa hiyo ni dharau," amesema Kaji.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Mwajuma Nasombe, amesema kwa kushirikiana na wadau, wamefanya usafi katika makaburi ya Karanga, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha usafi wa mji.
Wengine tuliamua kuadhimisha kwa kwenda kusali kanisani na misikitini kuliombea taifa ili mpunguze ukatili wenu dhidi yetu.Mkuu wa Wilaya ya Moshi, James Kaji, amesema hatawavumilia watumishi wazembe na kuagiza majina ya waliokwepa kushiriki maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika yawasilishwe kwake mara moja ili wachukuliwe hatua.
Kaji ametoa onyo hilo leo Jumatatu, Desemba 9, 2024, wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Viwanja vya Mashujaa, Manispaa ya Moshi, yakitanguliwa na shughuli za usafi katika makaburi ya Karanga.
Amesema uzembe wa baadhi ya watumishi wa umma unakwamisha juhudi za maendeleo zinazofanywa na Serikali na kuahidi kuchukua hatua kali dhidi yao.
"Watumishi wengi hawawajibiki mpaka wasukumwe au kushikiwa fimbo. Nchi hii ni yetu sote, sitavumilia uzembe huu. Wapo watu mitaani wanazunguka na vyeti hawana kazi, ninyi mmepata nafasi msichezee nafasi hizi. Nitachukua hatua kali kwa wote waliokwepa kushiriki maadhimisho haya kwa kuwa hiyo ni dharau," amesema Kaji.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi, Mwajuma Nasombe, amesema kwa kushirikiana na wadau, wamefanya usafi katika makaburi ya Karanga, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha usafi wa mji.
Siyo wa Mbeya, huyu ni wa Moshi kwenye mbege.Amelewa CHIMPUMU sio bureee 🤣🤣😂😂😂
Mbege hailevyi kiasi Cha kukosa ushirikiano wa akili na mdomoSiyo wa Mbeya, huyu ni wa Moshi kwenye mbege.
Kwamfano kuto kuhudhuria kwenye hayo maadhimisho kunakwamisha maendeleo Gani ?Amesema uzembe wa baadhi ya watumishi wa umma unakwamisha juhudi za maendeleo zinazofanywa na Serikali na kuahidi kuchukua hatua kali dhidi yao.
huyu mzee ana fire kyagata ?Msameheni tu huyu,ni mtumiaji wa ile dozi ya nanii.
upepo wa kumbeba kila msukuma na watu wa kanda ya ziwa wakati wa 2015 -2020 ndio uliwabeba watu kama hawa mkuu.Uyu kwa kauli hizi kwa watumishi astahili ata dakika 10 kuwa ofisini , Hajui ata maana ya uhuru, kila mtu anahaki kuazimisha sherehe tajwa kwa matakwa yake ,ulipatika uhuru ili watu wawe huru, sasa analeta ujinga gani wa kupangia watumishi cha kufanya . Hawa upataje nafasi kama izi?