DC Moshi, James Kaji: Ningekuwa na mamlaka, ningetimua wote waliokosa kushiriki maadhimisho ya Uhuru

Hawa watu wakiamka wanevimbiwa basi hujiropokea tu watakavyo bila kutafakari athari ya matamshi yao
 
Msameheni tu huyu,ni mtumiaji wa ile dozi ya nanii.
 
Propaganda sio swala la nguvu, ni swala la persuasion, it’s very tactical and very expensive.

Tanzania bado
 
Msaki Ringo Masawe na Maro Mushi Nkya hawakuja kusafisha makabur Katanga Anza nao. Umeambiwa hawana ndugu wa kusafisha makaburi yao hadi ya Katanga Tu?
 
Amelewa CHIMPUMU sio bureee πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wengine tuliamua kuadhimisha kwa kwenda kusali kanisani na misikitini kuliombea taifa ili mpunguze ukatili wenu dhidi yetu.
 
Amesema uzembe wa baadhi ya watumishi wa umma unakwamisha juhudi za maendeleo zinazofanywa na Serikali na kuahidi kuchukua hatua kali dhidi yao.
Kwamfano kuto kuhudhuria kwenye hayo maadhimisho kunakwamisha maendeleo Gani ?
 
Ila viongozi wetu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mweupe sana huyu jamaa kichwani, anapenda wadada tu. Sishangai kwa hiki anachozungumza, ndio maana akawa demoted kutoka kamishna jenerali dcea hadi dc. Naona mama alipata file lake.
 
upepo wa kumbeba kila msukuma na watu wa kanda ya ziwa wakati wa 2015 -2020 ndio uliwabeba watu kama hawa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…