DC Muro na ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo wilayani Ikungi

DC Muro na ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo wilayani Ikungi

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
DC MURO NA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO- IKUNGI.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe. Jerry Muro pamoja na Kamati ya Usalama ya Wilaya wataanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Wilayani Ikungi kuanzia tarehe 01 hadi 04 Novemba, 2022. Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilayani Ikungi unaendelea kwa kasi na viwango.

#KaziIendelee.

255626150150_status_a3c8c8502cb2499fa81da22006d59db5.jpg
 
Kila la kheri... Katika ziara zao, wajizuie kunyanyasa watendaji wa chini yao.

Wapitie mipango kazi kwa pamoja na kutafuta ufumbuzi.
 
Majukumu ya kawaida ya DC nayo yanapigiwa chapuo mitandaoni.. Kuipa siasa thamani kumeharibu mambo mengi sana
 
Principle ni ileile Mafanikio ya kwake lawama za watendaji wake,Hawa walikuwa na tafsiri yao ya kifanya kazi,Kwao kufanya kazi ni kusimamisha,kuweka ndani au kufukuza Watumishi kwenye Mikutano.

Hivi karibuni baada ya Mama kuingia naona kama anajitahidi kusoma alama za nyakati, ingawa sidhani kama mtu aliyeonja nyama ya mtu anaweza kuacha kirahisi.
 
Back
Top Bottom