DC Mwijaku na Baba Levo hizi safari kila mara kwenye nchi zenye historia ya Sembe imekaaje?

DC Mwijaku na Baba Levo hizi safari kila mara kwenye nchi zenye historia ya Sembe imekaaje?

Vijana wenzetu Kenya wako barabarani kupigania haki zao, Tanzania vijana wamepaka rangi nywele na suruali zao za kubana wanapiga umbea. SMH
 
1720269515390.png
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
1. Hizi safari kila mara kwenye nchi zenye historia ya Sembe imekaaje?

2. Kwa biashara ipi?

3. Mnasifia wanaume wenzenu Hadi sio.

NB: Tunatahadharisha tu

Mipango baba mipango ya namba sihitaji shida na wana MIPANGO BABA.

Tajiri Mtata kama Salaah.
 
Vijana wenzetu Kenya wako barabarani kupigania haki zao, Tanzania vijana wamepaka rangi nywele na suruali zao za kubana wanapiga umbea. SMH
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vijana wenzetu Kenya wako barabarani kupigania haki zao, Tanzania vijana wamepaka rangi nywele na suruali zao za kubana wanapiga umbea. SMH
Kaka hii ni so painful, hard truth kwakweli
 
Back
Top Bottom