DC Nachingwea agawa Sukari, Maziwa na Unga kwa ajili ya Siku ya Afya na Lishe

DC Nachingwea agawa Sukari, Maziwa na Unga kwa ajili ya Siku ya Afya na Lishe

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo amegawa mahitaji ya mapishi kwa vitendo kwa ajili siku ya Afya na Lishe ya kijiji, hayo ameyafanya Novemba 22, 2024 alipokua katika kikao cha tathimini ya mkataba wa Lishe robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Mahitaji hayo ni sukari, maziwa na unga ulioongezwa virutubishi ambavyo vimetolewa kwa watendaji wa kata wa kata zote 36 za Wilaya ya Nachingwea kwa ajili ya kupeleka katika vijiji, siku ya afya na lishe (SALIKI) hufanyika katika kila robo mara moja.
IMG_0906.jpeg
 
Uchaguzi around ze kona

Wajinga waliwao

Ova
 
Back
Top Bottom