Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,659
Acha bange we mwenye dini isiyotambulka na Mungu!Huyo mwanamke lazima ana limchepuko linamkamua ni kama anapunguza kasi mumewe ya kumfuatilia maana jamaa atakuwa busy na papuchi mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha bange we mwenye dini isiyotambulka na Mungu!Huyo mwanamke lazima ana limchepuko linamkamua ni kama anapunguza kasi mumewe ya kumfuatilia maana jamaa atakuwa busy na papuchi mpya.
factMwanaume kukuolea, akuolee ushaish naye zaidi hata ya miaka kumi yaani hata akikuolewa ule wivu hunaa sio wakivile mshazoeana Sana sio akuolee ndoa hata mwaka bado hii Hapana.
Anaonekana tumke mwenza mwenyewe mtoto wa mjini
KuuumbeeeKwa imani yako mkuu,siyo imani yetu.Mwanamke wa kiislamu mpaka kufua nguo za mumewe sio wajibu wake,mwanaume afue mwenyewe,na kama anafua mke basi kwa mapenzi kwa mume wake.Wanawake wakiislamu wanayofuraha kamili na hata kazi ngumu wasifanye,wapendwe,na kazi yao ngumu inatakiwa iwe pyumbu tu.
Exactly.Ataiona pepo mwanamke anamyemkaribisha mwanamke mwenzake kuolewa na mume wake na kuishi naye katika wema.
Yawezekana hii dunia ina mambo.Atakuwa na kiben 10 aka kidumu cha pembeni ,hana lolote
Kweli kabisa asitudanganye hapa binti mwenyewe mdogo wa 93 eti unafurahia ukewenzaMwanaume kukuolea, akuolee ushaish naye zaidi hata ya miaka kumi yaani hata akikuolewa ule wivu hunaa sio wakivile mshazoeana Sana sio akuolee ndoa hata mwaka bado hii Hapana.
Huruma!!!! Sitaki hata mimi..... Wangu tu tusipo onana siku2 nyumba inakua ndogo sembuse kugawana.
Babu yako nae alikua muhuni. Kwanini awaoe wengi hivyo halafu awaache.Wanakaaga kwa amani sana ila wanaume hawapendi ndo wanaletaga chokochoko, babu yangu alioa watatu wote walikua mashost japo mmoja alikua mji tofauti lakin hata akija unaweza kusema ni ndugu. Alichofanya akawaacha wote watatu na wakaendeleza udugu ye kafa hana hata mke wa kumuuguza..
Kumbe kazaliwa 93 Mh Pole yakeKweli kabisa asitudanganye hapa binti mwenyewe mdogo wa 93 eti unafurahia ukewenza
[emoji23] [emoji23]kila kimoja katika hivyo kina nafasi yake.
mana kama una hela nyinhi halaf dushe bovu hapo utakosa raha.
lakin kama huna hela lakin dushe lipo 'nga-nga-nga'.
utayafurahia maisha japo kwa kujiibia...
***tumejifariji hapa sisi akina kapuku..haahhaaahahaha
Mimi nakwambia ile siku najua anaenda kwa bimdogo ningekua naumwa hadi yeye mwenyewe ataogopa kuondoka. Au la nampa mchezo usiku kucha akifika kwa mke mwenza hata kumshika chuchu hawezi kwa jinsi alivyochoka.Mtu atajibu anaweza ila kiuhalisia hakuna anayependa, unajua kabisa mume wangu leo yupo sehemu ananjunju mimi ningeleta visa kila siku.