DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

Pumbavu wewe.
Wapi kasema kwamba anajiosha.
Kwahiyo ulitaka aandikeje ujue kuwa anamaanisha!!!
This is Islam. They are Muslims.
Mijanamke kwa wivu bana. Wivu kwa mwanaume usiyemjua.
Fucking bull shiit
Acha hasira kaka huku ni stress free
 
Huyu hampendi huyo bwana anatafuta jinsi ya kuachana nae kwa wema tu bila visasi.
 
Hayo ni kweli anayo mkuu
 
Jamani nitaslim nimtafute uyu mama anipe ruhusa niwe 3rd wife. [emoji23][emoji16]
 
Mashallah! Nashangaa kuna viumbe kama bwana Kiringo hawatamani uumbaji kama huu na kufuata Washeli.
Ni mambo ya ajabu sana mtu anaacha kula vitu laini venye utelezi wa asili anakimbilia vya kulumangia
 
Ni mambo ya ajabu sana mtu anaacha kula vitu laini venye utelezi wa asili anakimbilia vya kulumangia
Yaani inasikitisha sana mkuu. Neema za Allah. Vitu lainiiiiiiiiii na joto lililopimwa kwa nyuzi joto za peponi. Bado kuna mijitu inafukua chemba na mitaro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…