Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
hakika,Yesu hakuitengua torat, alkuja kuikamilisha.
Dah!...ukistaajabu ya Musa.....Wanawake wajanja wajanja Sana alimuambia mumewe aoe ili yeye aachane nae
Aweso jumaa Mungu anakuona mh waziri
Utayaona ya Juma AwesoDah!...ukistaajabu ya Musa.....
Yah kweli haya mkuu?!Wanawake wajanja wajanja Sana alimuambia mumewe aoe ili yeye aachane nae
Aweso jumaa Mungu anakuona mh waziri
Ulikua sahihi mkuu [emoji3]Huyo mwanamke lazima ana limchepuko linamkamua ni kama anapunguza kasi mumewe ya kumfuatilia maana jamaa atakuwa busy na papuchi mpya.
Imekuwaje tena?Ulikua sahihi mkuu [emoji3]
Wanasema huyo Dc alishaolewa na waziri fulaniImekuwaje tena?
Wanasema huyo Dc alishaolewa na waziri fulani
Aisee tuishi nao kwa akiliWanasema huyo Dc alishaolewa na waziri fulani
Sio mchezo aisee, hiyo move aliipanga muda tu inaonekana.Waziri wa maji
Sio mchezo aisee, hiyo move aliipanga muda tu inaonekana.
Tatizo mnataka mle wenyewe tu😂Ningekua ni mimi pepo kwa style hii hapana.
Mwamba alitegwa akajaa kwenye target dah..Kwanza kajamaa kalishauriwa kaoe mke wa pili kweli kakaoa baadae kibao kikageuka bana kaa na familia yako mimi niache then waziri kavuta kaweka ndani jumla
Mwamba alitegwa akajaa kwenye target dah..
Tuishi nao kwa akili
Nimeshangaa sn mwanaume hawezi kukuelewa kama upo busy basi ni bora tutengane kuliko kuniletea mtu wa pili
Majukumu hayo ya kushindwa kumhudumia mume hayapo kama mke kweli anampenda mumewe! Mwanamke atafanya wema kwa kiwango cha juu sana kwako ikiwa bado ana hisia kali za kimapenzi na wewe!Majukumu gani? Mwanamke gani anaezidiwa na majukumu hadi ashindwe kumtunza mumewe? Huo udc ndo umfanye ashindwe kutekeleza majukumu ya mke? Akiwa waziri itakuaje sasa?
Hapo mimaji imezidi unga! Hamna starehe acha jamaa aoe pengine! Midemu mingine sio mitamu kabisa 😂Huyu DC si haba kajazia kama Mzigua90
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba ni mtamu kwa kumuangalia tuHapo mimaji imezidi unga! Hamna starehe acha jamaa aoe pengine! Midemu mingine sio mitamu kabisa [emoji23]