ILA HAIBADILISHI ALIANZA MAHUSIANO MENGINE AKIWA KWENYE NDOA...NA WATOTO ALIWAPATA WENGINE KWENYE NDOA YA MTU.
Hakukimbilia Tanga bhanaa kwa ajili ya mumewe...alipata uteuzi wa ukuu wa wilaya tanga PANGANI na huko ndiko alikokutana na aweso...kuhusu mumewe haijadhihiri hicho unachosema...mme wake alivoa aliooa aliomba talaka na walikuwa Elisha tengana. jamaa aliza nje ya ndoa ndo mwanamke kukimbilia tanga
Amkomoe kwa sababu ganiMnyonge myongeni haki yake mpeni. Van Mohamed's kipindi anaoa mke wa pili alifanya kwa kumkomoa huyu bidada na bidada alijitia anapokea kwa mikono miwili mbele ya umati ili asijionyeshe kwamba ameumia kumbe aliendelea na maisha yake. haikupita mda baada ya ile post bidada aliomba talaka na kuolewa kimya kimya. Wanaume wenzangu wa waislamu iwe funzo kwenu. mwanamke hakomolewi. umemchoka achana nae kwa utulivu tabia za kuoa mke wa pili kumkomoa mkeo utaja aibika weee mwenyewe
Wameachan 2018 mwanzoni. 2019 kaoelewa. cha kushangaza ni kipi hapo? wanaume inabidi tubadilike. mambo ya kulia lia kisa ex kaolewa na mtu tajiri kuliko wewe ni ushoga. jamaa alijitia kidume kweli mwishowe ye ndo naaibika. tusisahau Mungu ni WETU sote. achana na hawa mabinti kwa wema kama umemchoka mamno ya kukomoana ni ya kizamaniHakukimbilia Tanga bhanaa kwa ajili ya mumewe...alipata uteuzi wa ukuu wa wilaya tanga PANGANI na huko ndiko alikokutana na aweso...kuhusu mumewe haijadhihiri hicho unachosema...
Sijaelewa mkuu anaaibika kivipi hasa?wameachan 2018 mwanzoni. 2019 kaoelewa. cha kushangaza ni kipi hapo? wanaume inabidi tubadilike. mambo ya kulia lia kisa ex kaolewa na mtu tajiri kuliko wewe ni ushoga. jamaa alijitia kidume kweli mwishowe ye ndo naaibika. tusisahau Mungu ni WETU sote. achana na hawa mabinti kwa wema kama umemchoka mamno ya kukomoana ni ya kizamani
Hili ndio la msingi, wanasia wanawake hasa wa siku hizi ni changamoto mnoNILICHOJIFUNZA...USIMPE NAFASI MKE KUFANYA KAZI MBALI NA WEWE...PILI USIOE WANAWAKE WANASIASA NA WANAHARAKATI.
Hivi uolewe 2019 na uwe na watoto watatu kwenye ndoa ambao sio pacha, Jumaa alishaanza mgongea mwenziewameachan 2018 mwanzoni. 2019 kaoelewa. cha kushangaza ni kipi hapo? wanaume inabidi tubadilike. mambo ya kulia lia kisa ex kaolewa na mtu tajiri kuliko wewe ni ushoga. jamaa alijitia kidume kweli mwishowe ye ndo naaibika. tusisahau Mungu ni WETU sote. achana na hawa mabinti kwa wema kama umemchoka mamno ya kukomoana ni ya kizamani
BlessUkiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
View attachment 699033
View attachment 699031
Na nyie wengine mloolewa fanyeni kama Zainab mtupunguze tusio na ndoa mtaani.
Wewe hueleweki unachoongea na kukipigania..?Wameachan 2018 mwanzoni. 2019 kaoelewa. cha kushangaza ni kipi hapo? wanaume inabidi tubadilike. mambo ya kulia lia kisa ex kaolewa na mtu tajiri kuliko wewe ni ushoga. jamaa alijitia kidume kweli mwishowe ye ndo naaibika. tusisahau Mungu ni WETU sote. achana na hawa mabinti kwa wema kama umemchoka mamno ya kukomoana ni ya kizamani
Yaani huyu jamaa hapo juu haelewi hata tunachoongelea...Hivi uolewe 2019 na uwe na watoto watatu kwenye ndoa ambao sio pacha, Jumaa alishaanza mgongea mwenzie
kua na mkeo msiasa ukimwi out out na kuhusu maji umepatia sanaHapo mimaji imezidi unga! Hamna starehe acha jamaa aoe pengine! Midemu mingine sio mitamu kabisa [emoji23]
Noma sanakua na mkeo msiasa ukimwi out out na kuhusu maji umepatia sana
Hapana kwenye hicho cheo alishatolewa na Sasa hivi mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais ikulu Zanzibar n Charles HilalyJamaa yake wa zamani yuko njema! Alishawahi kua Mkuregenzi wa Azam FC, na Sasa ni Mkuregenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar! Nahisi jamaa alinusa harufu mapema kwamba Mzee wa maji,anakula tunda lake, ndiyo maana akaona bora kuoa mke mwingine,na bibiye nae alikua kakolea kunako wizarani, ngoma ikawa draw
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwa sababu wakati ameteuliwa... Alipata scholarship HARVARD UNIVERSITY...Hapana kwenye hicho cheo alishatolewa na Sasa hivi mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais ikulu Zanzibar n Charles Hilaly
Mkuu wa wilaya tu majukumu mengi na Samia atasemaje