Elections 2015 DC Paul Makonda avundua madudu ya Magufuli katika ujenzi wa barabara Kinondoni

Elections 2015 DC Paul Makonda avundua madudu ya Magufuli katika ujenzi wa barabara Kinondoni

William-123

Senior Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
197
Reaction score
94
Baada ya kuunda tume ya uchunguzi kuhusu barabara za kinondoni. Report aliyopatiwa inaonyesha madudu mengi ya uchakachuaji. Madudu ambayo yalianzia katika ngazi za utoaji tenda na mpaka ujenzi wa barabara. Mfano barabara moja ilipangwa itumia milioni 450 lakini mpaka sasa imekula 1.6bilion.

Swali?
1) Je, waziri magufuli hakuona madudu haya..?
2) Je, kama tukifuatilia barabara zingine alizojenga si mabilioni tamepotea.?
3) Kwa maana hii ripoti ya cag iliyoonyesha mabilioni kupotea ilikuwa sahihi.
4) Je, tukimpa urais ataweza kuzuia wizi wa namna hii kweli...?

Mdau unaonaje?
 
Je, DC akipewa hiyo ripoti ataweza kumwajibisha waziri?
 
fikiria nchi hii kuna barabara ngapi?. co barabara zote Waziri husimamia
 
Jamani magufuli awe msafi wakati taasisi anayotoka ni kiboko ya ufisadi?
 
fikiria nchi hii kuna barabara ngapi?. co barabara zote Waziri husimamia

Duh arguments nyingine bwana....

Ni kweli hasimamii zote lakini ana dhamana ya barabara zote....

Ni sawa na ukiwa mkuu kazini kwako, si kazi zote unafanya na kusimamia wewe, lakini uko responsible kwa kila jambo....

Na ni wazi, ukiachilia mbali siasa, barabara nyingi ziko chini ya kiwango......kama unasafiri kwa njia ya barabara maeneo mengi utaelewa vizuri
 
Wewe kweli huna akili, hujui kuwa barabara hiyo zipo chini ya Mkurugenzi wa wilaya?nenda shule ili ujue walau vitu vya shule ya msingi kama hivi.
 
Duh arguments nyingine bwana....

Ni kweli hasimamii zote lakini ana dhamana ya barabara zote....

Ni sawa na ukiwa mkuu kazini kwako, si kazi zote unafanya na kusimamia wewe, lakini uko responsible kwa kila jambo....

Na ni wazi, ukiachilia mbali siasa, barabara nyingi ziko chini ya kiwango......kama unasafiri kwa njia ya barabara maeneo mengi utaelewa vizuri

Wizara ya ujenzi haiko responsible na barabara za manispaa na ndio maana wabunge waliambiwa wakitaka barabara iwe chini ya ujenzi kuna hatua za kufuata ikiwa ni pamoja na vikao vya kupitisha ili ziamishwe toka tamisemi kwenda tanroads
 
BAADA YA KUUNDA TUME YA UCHUNGUZI KUHUSU BARABARA ZA KINONDONI. REPORT ALIYOPATIWA INAONYESHA
MADUDU MENGI YA UCHAKACHUAJI. MADUDU AMBAYO YALIANZIA KATIKA NGAZI ZA UTOAJI TENDA NA MPAKA UJENZI WA
BARABARA. MFANO BARABARA MOJA ILIPANGWA ITUMIA MILIONI 450 LAKINI MPAKA
SASA IMEKULA 1.6BILION.
SWALI ?
1) JE WAZIRI MAGUFULI HAKUONA MADUDU HAYA..?
2) JE KAMA TUKIFUATILIA BARABARA ZINGINE ALIZOJENGA SI MABILIONI TAMEPOTEA.?
3) KWA MAANA HII RIPOTI YA CAG ILIYOONYESHA MABILIONI KUPOTEA ILIKUWA SAHIHI.
4) JE TUKIMPA URAIS ATAWEZA KUZUIA WIZI WA NAMNA HII KWELI...?

Mdau unaonaje..?

Ata kusioma taarifa huwezi, kama nawe ni mtu mzima basi elimu ya watu wazima inakuhusu, rudia tena kuisoma hiyo dondoo ya kwa Le Mutuz ambaye umesema ndio source yako.

Nimepokea na kuipitia report ya tume niliyoiunda juu ya ubora wa barabara za Lami ktk wilaya ya kinondoni(zinajengwa na kusimamiwa na Manispaa ya Kinondoni). Bila shaka rushwa imejikita ktk hatua ya mwanzo ya tenda mpaka ujenzi wa barabara zenyewe.Hakika wasomi wetu na watumishi wetu wametuangusha sana. Nimetoa siku 14 kwa mkurugenzi(wa Wilaya ya Kinondoni) anieleze hatua zipi amechukua na nimeipa takukuru report nayo ichukue hatua. Kama Mkurugezi wangu (wa Wilaya ya Kinondoni) hata chukua nitaomba mamlaka husika kuwawajibisha wahusika.

Unaizungumzia report ya CAG, nayo unaifahamu kweli?kama kusoma hujui basi ebu msikilize CAG hapa anapozungumzia pesa hizo za Wizara ya Ujenzi.

https://www.youtube.com/watch?v=9SOTVAOSyIE

Kwa kifupi, CAG ANASEMA HAPA HAKUNA PESA ILIYOPOTEA WIZARA YA UJENZI NA AMEISIFIA WIZARA YA UJENZI KWA KAZI YAO NZURI
 
Hizo barabara za manispaa hazimuhusu ziko sayari tofauti na ya kwetu.Msj sent.
 
Wizara ya ujenzi haiko responsible na barabara za manispaa na ndio maana wabunge waliambiwa wakitaka barabara iwe chini ya ujenzi kuna hatua za kufuata ikiwa ni pamoja na vikao vya kupitisha ili ziamishwe toka tamisemi kwenda tanroads

Naelewa kuwa za Halmashauri ziko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri husika

Nimejaribu kupanua mawazo kwa ujumla wake ya changamoto ya viwango vya barabara zetu....wakati tunaposhangilia kuwa na mtandao mpana wa barabara, tusisahau kupiga kelele juu ya viwango na ubora wa barabara husika
 
Hiyo Ripoti Ni Kweli Inaonyesha Ubadhirifu Lakini Ni Barabara Ambazo Zilijengwa Chini Ya Usimamizi Wa Halmashaur Ya Wilaya Ya Kinondoni Na Sio Chini Ya Wizara Ya Ujenzi Na Ndomana Paul Makonda Aliunda Kamati Inayohusisha Halmashaur Ya Wilaya Tu Bila Wizara Kuhusika Kwa Sababu Zilikua Ni Mradi Wa Wilaya .Kwa Hyo Hizo Tuhuma Zinawahusu Wasimamizi Na Wakandarasi Wa Halmashauri Na Sio Magufuli Kama Mnavodai...Kumbukeni Wizara Inahusika Na Ujenzi Na Usimamizi Barabara Kuu..
 
Magufuli is weak, ni mkwala wa majukwaani tu. Barabara zote, angalia from dar to arusha, na kwingine, barabara za miezi 6 pitholes kibao
 
Naelewa kuwa za Halmashauri ziko chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri husika

Nimejaribu kupanua mawazo kwa ujumla wake ya changamoto ya viwango vya barabara zetu....wakati tunaposhangilia kuwa na mtandao mpana wa barabara, tusisahau kupiga kelele juu ya viwango na ubora wa barabara husika

Presentation yako ilikuwa inataka kutoa picha ya kumlaumu magufuli kwa kuonyesha yeye ndio mwenye makosa na ndio ameshindwa kuzuia ufisadi
 
Na msata bagamoyo iko chini ya nani?
Kama si magufuli na tanroad yake?
 
Back
Top Bottom