William-123
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 197
- 94
Baada ya kuunda tume ya uchunguzi kuhusu barabara za kinondoni. Report aliyopatiwa inaonyesha madudu mengi ya uchakachuaji. Madudu ambayo yalianzia katika ngazi za utoaji tenda na mpaka ujenzi wa barabara. Mfano barabara moja ilipangwa itumia milioni 450 lakini mpaka sasa imekula 1.6bilion.
Swali?
1) Je, waziri magufuli hakuona madudu haya..?
2) Je, kama tukifuatilia barabara zingine alizojenga si mabilioni tamepotea.?
3) Kwa maana hii ripoti ya cag iliyoonyesha mabilioni kupotea ilikuwa sahihi.
4) Je, tukimpa urais ataweza kuzuia wizi wa namna hii kweli...?
Mdau unaonaje?
Swali?
1) Je, waziri magufuli hakuona madudu haya..?
2) Je, kama tukifuatilia barabara zingine alizojenga si mabilioni tamepotea.?
3) Kwa maana hii ripoti ya cag iliyoonyesha mabilioni kupotea ilikuwa sahihi.
4) Je, tukimpa urais ataweza kuzuia wizi wa namna hii kweli...?
Mdau unaonaje?