Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh arguments nyingine bwana....
Ni kweli hasimamii zote lakini ana dhamana ya barabara zote....
Ni sawa na ukiwa mkuu kazini kwako, si kazi zote unafanya na kusimamia wewe, lakini uko responsible kwa kila jambo....
Na ni wazi, ukiachilia mbali siasa, barabara nyingi ziko chini ya kiwango......kama unasafiri kwa njia ya barabara maeneo mengi utaelewa vizuri
Je, DC akipewa hiyo ripoti ataweza kumwajibisha waziri?
Bro ulikua unasemaje??..Baada ya kuunda tume ya uchunguzi kuhusu barabara za kinondoni. Report aliyopatiwa inaonyesha madudu mengi ya uchakachuaji. Madudu ambayo yalianzia katika ngazi za utoaji tenda na mpaka ujenzi wa barabara. Mfano barabara moja ilipangwa itumia milioni 450 lakini mpaka sasa imekula 1.6bilion.
Swali?
1) Je, waziri magufuli hakuona madudu haya..?
2) Je, kama tukifuatilia barabara zingine alizojenga si mabilioni tamepotea.?
3) Kwa maana hii ripoti ya cag iliyoonyesha mabilioni kupotea ilikuwa sahihi.
4) Je, tukimpa urais ataweza kuzuia wizi wa namna hii kweli...?
Mdau unaonaje?