DC Shaka: Nitahakikisha Watendaji wote wa Serikali ambao ni wanufaika au chanzo cha migogoro baina ya wakulima na wafugaji wanachukuliwa hatua Kali

Kila lenye heri kiongozi
 
Nasikia mmemfuata Amsterdam pesa ya Kula imekata 😂😂😂

Ni kweli mkuu, hata mama Samia huwa anakwenda sana huko huko kwa wazungu, nadhani ni muendelezo huohuo wa pesa ya kula kukata.
 
Mr DC Chapa kazi Vijana tunajifunza toka kwako,

Mr Putin
 
Siasa za kupokea wageni airport, Baada ya huyu tumtegemee Wenje

Mbona hiyo ni kawaida sana kwa mpendwa wako? Au au uliumia sana? Mbona sisi hatukulia mlivyokuwa mnaenda kupokea ndege za dhalimu?
 
Kipindi hiki cha Rais Samia Suluhu akiwa madarakani migogoro mingi iliyokuwepo imetatuliwa na Rais Samia Suluhu katika kusuluhisha migogoro yake amewapa wananchi kipaumbele
 
Piga kazi
 
Mwamba sana Wewe Jamaa
 
Awesome leader
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…