Ismail Khalid
Member
- May 10, 2021
- 16
- 22
Hzo siasa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIon la ma lion dangoteNyati la Manyati... Cement
Hivi kuna msanii ambae hali ndumuKwenye ndum hapo mmh
Ila ndum na usanii ni kama chp na tk
Ova
Huko hawawezi kukubali hata kwa dawa.wapite na bungeni pia.
Hawezi ubavu huo hanaAkifanikiwa Hilo Bila Kupisha Kiti Tutajua Amajipanga
Kama una orodha, sheria zipo, watendaji wapo, vifaa vipo unasimama jukwaani kufanya nini? Blabla za nini? Unamwogopa nanani na kwanini?Akiongea leo November 14,2023 Jijini Dar es salaam, Lyimo amesema “Nitoe wito kwa Wasanii wanaotumia dawa za kulevya tuna orodha yao, tuna orodha ya wanaovuta bangi, tuna orodha ya wanaovuta heroin na cocaine, tunawapa muda wa kujirekebisha hii mitambo yetu ya maabara ikikamilika tutawachukulia hatua wote tutawapima na tukijiridhisha mnatumia mtachukuliwa hatua ikiwemo kufikishwa Mahakamani”
mchumba angu wa mchongoKumekuchaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Honey?Naniliu apimwe mkojo.
serikali ndio yenye mamlaka ya kila kitu hata hiyo pumzi wamekuazima tu ukiitumia vibaya wanaichukua...!Yaani wanamfata msanii alipo wanamchukua na kumpeleka maabara?
Kwa kutumia sheria ipi naomba kueleweshwa
Bila kuwa na sheria hawana mamlaka yoyote.serikali ndio yenye mamlaka ya kila kitu hata hiyo pumzi wamekuazima tu ukiitumia vibaya wanaichukua...!
nadhani mtumiaji hana makosa mwenye makosa ni anae yaingiza hayo madawa...! wangepambana na wauzaji...ingekuwa poua sana
KweliAsilimia kubwa wanatumia
Ova