Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo anatumia nguvu kubwa sana, Jf haitaki tambo...😂Kwa siku huwa unapost nyuzi zaidi ya 30 mkuu uko vzri
Kabsa yaan kuna huyu ma yule anajiita kakaake shetani sjui mjombaake shetani aisee kila nkiingia jf nakutana na rundo la notification za post zao TuDogo anatumia nguvu kubwa sana, Jf haitaki tambo...😂
Tuheshimiane mkuu dogo mwanao. Sio mimiDogo anatumia nguvu kubwa sana, Jf haitaki tambo...😂
Inakuuma tafuta hela kijanaKwa siku huwa unapost nyuzi zaidi ya 30 mkuu uko vzri
We kunguni unatujazia server nenda ukapost fb utumbo wakoTuheshimiane mkuu dogo mwanao. Sio mimi
Rahanahtuallha.... majinun...fakirhWe kunguni unatujazia server nenda ukapost fb utumbo wako
Kwahiyo anajitafutaHuyu mwamba tangu atoe ile maisha na muziki na ngoma ikaenda viral basi hajawahi kuwa na uwiano mzuri
Ni msanii mzuri mwenye talanta ila sijajua kwanini ameamua kuonesha wasiwasi kwenye ubunifu
Asilimia kubwa ya ngoma zote zilizofata baada ya maisha na muziki zilikuwa katika style ile ile
Upuzi tu ungejibu kiswahili au unafikiri wote mashabiki maandaziRahanahtuallha.... majinun...fakirh
njaa inakusumbua tafuta hela uache makasiriko we chokonelaUpuzi tu ungejibu kiswahili au unafikiri wote mashabiki maandazi
Kwa hiyo hemedy unakula nguruwe?njaa inakusumbua tafuta hela uache makasiriko we chokonela
hahahahaKwa siku huwa unapost nyuzi zaidi ya 30 mkuu uko vzri
unauliza au unasema...Kwa hiyo hemedy unakula nguruwe?
Huoni kiulizo hapo...unauliza au unasema...
situmii nyama ya aina yoyteHuoni kiulizo hapo...
😂😂😂 Et njaaa wewe utumbo unaoandika ndio unaonekana kabisa hata hiyo simu ya marehemu bibi fala wewenjaa inakusumbua tafuta hela uache makasiriko we chokonela
We unaeandika maini umefika wapi?😂😂😂 Et njaaa wewe utumbo unaoandika ndio unaonekana kabisa hata hiyo simu ya marehemu bibi fala wewe