Deadline ya 'second round application' kwa TCU ni lini?

Deadline ya 'second round application' kwa TCU ni lini?

kwa hiyo mkuu ikotoka na profile ikiwa empty dogo aombe nyingine si ndio?
 
Akutumie namba ya kidato cha nne na password umsaidie haraka maana nafasi zimeaki chache labda kama anataka akafunishe special needs
 
Haha haya bwana mbwiga88

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Baada ya kuadimika kwa muda kidogo kutokana na kazi....sasa Mbwiga88 nimerudi tayari kwa majukumu yangu ya kuhabarishana na wana jamvi humu ndani...kwa wanaonifahamu vizuri wanatambua mchango wangu katika ku wa update na habari mbalimbali za TCU na selection za vyuo hapa jamvini mnamo mwaka 2013.......in 7 days from now nitakuwa nawaletea habari kutoka ndani ya TCU as they happen.....kwa sasa nakaribisha maswali and any queries...i will be happy to help in any way possible.......my Reputation preceds me....

"Et habri kutoka ndani TCU wewe ni Nani Pale TCU" kwikwikwi............
 
Baada ya kuadimika kwa muda kidogo kutokana na kazi....sasa Mbwiga88 nimerudi tayari kwa majukumu yangu ya kuhabarishana na wana jamvi humu ndani...kwa wanaonifahamu vizuri wanatambua mchango wangu katika ku wa update na habari mbalimbali za TCU na selection za vyuo hapa jamvini mnamo mwaka 2013.......in 7 days from now nitakuwa nawaletea habari kutoka ndani ya TCU as they happen.....kwa sasa nakaribisha maswali and any queries...i will be happy to help in any way possible.......my.NIMEINGIA KWENYE PROFILE YANGU YA TCU,NIMEKUTA KWENYE ADMISSIO CAPASITY YA BACHELOR YA CHAGUO LANGU LA KWANZA NI ZERO HAPO AWALI WALIITAJIKA KUMI,PIA KWENYE BACHELOR YA PILI ADMISSION CAPACITY ILIKUWA NI 10,SASA WAMEANDIKA 3.MACHAGUO MENGINE YAPO KAWAIDA TU IN PROGRESS.NISAIDIE UELEWA.
 
dogo langu linataka kujua baada ya kupewa chuo
a)nani anahusika kupanga tarehe ya kulipoti chuoni?
b)kuna uwiano gani kutoka tarehe ya kulipoti hadi mwisho wa kulipoti?
 
Duuh hapa kazi ipo.
Bwana mkubwa Mbwiga88 kazi unayo.
Saidia vijana hao wanamaswali yao.
Ha ha ha
 
Mbwiga88 mzee wa Airtel yatosha

Nakuelewa sana
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kuadimika kwa muda kidogo kutokana na kazi....sasa Mbwiga88 nimerudi tayari kwa majukumu yangu ya kuhabarishana na wana jamvi humu ndani...kwa wanaonifahamu vizuri wanatambua mchango wangu katika ku wa update na habari mbalimbali za TCU na selection za vyuo hapa jamvini mnamo mwaka 2013.......in 7 days from now nitakuwa nawaletea habari kutoka ndani ya TCU as they happen.....kwa sasa nakaribisha maswali and any queries...i will be happy to help in any way possible.......my.NIMEINGIA KWENYE PROFILE YANGU YA TCU,NIMEKUTA KWENYE ADMISSIO CAPASITY YA BACHELOR YA CHAGUO LANGU LA KWANZA NI ZERO HAPO AWALI WALIITAJIKA KUMI,PIA KWENYE BACHELOR YA PILI ADMISSION CAPACITY ILIKUWA NI 10,SASA WAMEANDIKA 3.MACHAGUO MENGINE YAPO KAWAIDA TU IN PROGRESS.NISAIDIE UELEWA.
ni hali ya kwaiada hiyo ndugu yangu worru out tumepata sana claims kuhusu hilo suala......kuwa na amani tu
 
dogo langu linataka kujua baada ya kupewa chuo
a)nani anahusika kupanga tarehe ya kulipoti chuoni?
b)kuna uwiano gani kutoka tarehe ya kulipoti hadi mwisho wa kulipoti?
majina ya kuchaguliwa vyuo yanapotolewa na chuo husika huwa wanaambatanishiwa na tarehe yao ya kuripoti for orientation....naamin nimejibu suala lako
 
Baada ya kuadimika kwa muda kidogo kutokana na kazi....sasa Mbwiga88 nimerudi tayari kwa majukumu yangu ya kuhabarishana na wana jamvi humu ndani...kwa wanaonifahamu vizuri wanatambua mchango wangu katika ku wa update na habari mbalimbali za TCU na selection za vyuo hapa jamvini mnamo mwaka 2013.......in 7 days from now nitakuwa nawaletea habari kutoka ndani ya TCU as they happen.....kwa sasa nakaribisha maswali and any queries...i will be happy to help in any way possible.......my.NIMEINGIA KWENYE PROFILE YANGU YA TCU,NIMEKUTA KWENYE ADMISSIO CAPASITY YA BACHELOR YA CHAGUO LANGU LA KWANZA NI ZERO HAPO AWALI WALIITAJIKA KUMI,PIA KWENYE BACHELOR YA PILI ADMISSION CAPACITY ILIKUWA NI 10,SASA WAMEANDIKA 3.MACHAGUO MENGINE YAPO KAWAIDA TU IN PROGRESS.NISAIDIE UELEWA.

nadhani hilo swali mbwiga hawez kukujibu maana hilo tatizo lipo kwetu watu wa equivalent ambao tupo chini ya nacte....tuendelee kuvuta subira mkuu maana sio kwako tu ni kwa wote....
 
majina ya kuchaguliwa vyuo yanapotolewa na chuo husika huwa wanaambatanishiwa na tarehe yao ya kuripoti for orientation....naamin nimejibu suala lako

naomba nisaidie niliapply second round selection nikaambiwa sucessfully selected now naambiwa due to competition sijawa selected naomba nishauri maana nimesha kata tamaa
 
Back
Top Bottom