Deal done! Baada ya likizo kwisha.. Kaya zikafutwa

Deal done! Baada ya likizo kwisha.. Kaya zikafutwa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani
Kila kitu kilipokaa sawa na mishekeli kuingia kibindoni ndipo likizo ikafika ukomo
Kilichofuatia baada ya liziko ni utekelezaji wa kuzifutia kaya usajili wake
Na yule mtunza sharia aliyeshindwa ndiye alikuwa keshaandaliwa kupigilia msumari.. Bahati mbaya saana ikawa Mipango ya Mungu si ya kisimkasi wala mwanjangwa
20240823_090359.jpg
 
Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani
Kila kitu kilipokaa sawa na mishekeli kuingia kibindoni ndipo likizo ikafika ukomo
Kilichofuatia baada ya liziko ni utekelezaji wa kuzifutia kaya usajili wake
Na yule mtunza sharia aliyeshindwa ndiye alikuwa keshaandaliwa kupigilia msumari.. Bahati mbaya saana ikawa Mipango ya Mungu si ya kisimkasi wala mwanjangwaView attachment 3076949
Kick ya kupewa sumu imebuma,
 
Mkuu,haya mambo umeyajuaje?

Si wewe uliyekuwa ukikisia kisia kuhusu bwana Makonda?

Sasa mbona leo unaandika kama unajua usahihi wa hili jambo?

Nauliza tu,sina nia ya kukukosoa kaka.
Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani
Kila kitu kilipokaa sawa na mishekeli kuingia kibindoni ndipo likizo ikafika ukomo
Kilichofuatia baada ya liziko ni utekelezaji wa kuzifutia kaya usajili wake
Na yule mtunza sharia aliyeshindwa ndiye alikuwa keshaandaliwa kupigilia msumari.. Bahati mbaya saana ikawa Mipango ya Mungu si ya kisimkasi wala mwanjangwaView attachment 3076949
 
Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani
Kila kitu kilipokaa sawa na mishekeli kuingia kibindoni ndipo likizo ikafika ukomo
Kilichofuatia baada ya liziko ni utekelezaji wa kuzifutia kaya usajili wake
Na yule mtunza sharia aliyeshindwa ndiye alikuwa keshaandaliwa kupigilia msumari.. Bahati mbaya saana ikawa Mipango ya Mungu si ya kisimkasi wala mwanjangwaView attachment 3076949
Mkuu si ni wewe uliyeleta fumbo la kuwa jamaa alikwenda bondeni kupitia nchi jirani ili baadae apae zaidi kwenda kuchukua ngawira zilizotokana na mauzo ya eneo na wanyama? Na kuwa akiwa huko bondeni wajanja wakamfanyia umafia wa kutaka kumtoa roho. Kuna haja ya kubadilika na kuacha tabia ya kujifanya kujua mambo na kuzusha jambo.
 
Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani
Kila kitu kilipokaa sawa na mishekeli kuingia kibindoni ndipo likizo ikafika ukomo
Kilichofuatia baada ya liziko ni utekelezaji wa kuzifutia kaya usajili wake
Na yule mtunza sharia aliyeshindwa ndiye alikuwa keshaandaliwa kupigilia msumari.. Bahati mbaya saana ikawa Mipango ya Mungu si ya kisimkasi wala mwanjangwaView attachment 3076949
We jamaa kama ndo matunguli yako basi yame eksipaya vibaya sana,,,,,ulianza na zile mambo za jezi za Yanga zina laana ukatulizwa, ukapotea kabisa, sahivi umerudi na taarabu nyingine.........huyo ndo dawa yenu na hamumwezi kwa lolote
 
Mkuu,haya mambo umeyajuaje?

Si wewe uliyekuwa ukikisia kisia kuhusu bwana Makonda?

Sasa mbona leo unaandika kama unajua usahihi wa hili jambo?

Nauliza tu,sina nia ya kukukosoa kaka.
Ukisoma mtiririko wa mada zote utapata jibu kamili
 
Mkuu,haya mambo umeyajuaje?

Si wewe uliyekuwa ukikisia kisia kuhusu bwana Makonda?

Sasa mbona leo unaandika kama unajua usahihi wa hili jambo?

Nauliza tu,sina nia ya kukukosoa kaka.
Ukisoma mtiririko wa mada zote utapata jibu kamili
Mkuu si ni wewe uliyeleta fumbo la kuwa jamaa alikwenda bondeni kupitia nchi jirani ili baadae apae zaidi kwenda kuchukua ngawira zilizotokana na mauzo ya eneo na wanyama? Kuna haja ya kubadilika na kuacha tabia ya kujifanya kujua mambo na kuzusha jambo.
Umeshasema fumbo halafu unasema ujuaji.. Fumbo mfumbie mjinga... Je wewe ni mmojawapo?
 
Mkuu,haya mambo umeyajuaje?

Si wewe uliyekuwa ukikisia kisia kuhusu bwana Makonda?

Sasa mbona leo unaandika kama unajua usahihi wa hili jambo?

Nauliza tu,sina nia ya kukukosoa kaka.
Ukisoma mtiririko wa mada zote utapata jibu kamili
Mkuu si ni wewe uliyeleta fumbo la kuwa jamaa alikwenda bondeni kupitia nchi jirani ili baadae apae zaidi kwenda kuchukua ngawira zilizotokana na mauzo ya eneo na wanyama? Kuna haja ya kubadilika na kuacha tabia ya kujifanya kujua mambo na kuzusha jambo.
Umeshasema fumbo halafu unasema ujuaji.. Fumbo mfumbie mjinga... Je wewe ni mmojawapo?
Mwanaseria wangu anaung'wa.
20240824_025530.jpg
 
Yaani humu siku hizi taarifa za uzushi zinapambwa na kutiwa nakshi zivutie, wakati hazina ukweli.
 
Walianza kuhamishwa wanyama wa mwituni kwenda jangwani.. Kisha ikafuatia likizo ya mchongo ya kimyakimya na coumaflage ya kifo.. Ili kutoa nafasi kutengeneza mambo vizuri mezani
Kila kitu kilipokaa sawa na mishekeli kuingia kibindoni ndipo likizo ikafika ukomo
Kilichofuatia baada ya liziko ni utekelezaji wa kuzifutia kaya usajili wake
Na yule mtunza sharia aliyeshindwa ndiye alikuwa keshaandaliwa kupigilia msumari.. Bahati mbaya saana ikawa Mipango ya Mungu si ya kisimkasi wala mwanjangwaView attachment 3076949
Soon samaki wote ukanda wa bahari ya hindi tunaoumiliki watahamishwa wote eneo wapewe waarabu wawekeze kwenye kuogelea!
 
Back
Top Bottom