Deal done! Baada ya likizo kwisha.. Kaya zikafutwa

Deal done! Baada ya likizo kwisha.. Kaya zikafutwa

Mkuu si ni wewe uliyeleta fumbo la kuwa jamaa alikwenda bondeni kupitia nchi jirani ili baadae apae zaidi kwenda kuchukua ngawira zilizotokana na mauzo ya eneo na wanyama? Na kuwa akiwa huko bondeni wajanja wakamfanyia umafia wa kutaka kumtoa roho. Kuna haja ya kubadilika na kuacha tabia ya kujifanya kujua mambo na kuzusha jambo.
Tabia ya kumsingizia mtu usiyempenda ndiyo inayoonekana hapa.
 
Mkuu nimependa ulivyopiga vibaya kwenye mshono lakini kwa njia ya kistaarabu mno. Jamii yetu ingekuwa imejawa na watu wengi wa aina Yako, migogoro isingekuwepo.

Mada zetu siku hizi, nyingi zao, zinabuma sababu hatujui hata tunasimamia nini.......ni mwendo wa 'kulabudia' matukio tu na kukimbilia humu kutafuta likes mwishowe tunajikuta tunachanganya changanya tu habari.
Halafu jamaa ukimuuliza aeleweke anafanya eti wewe ndio hujaelewa au usome mada zote hizo na hataki kukiri ni za kutunga.

Tanzania panakuwa sehemu za kusemeana uongo uongo au kuzushiana mambo yasiyokuwepo.
 
Shida Yako ni uwekezaji au waarabu?
Uwekezaji ni sympathy way kuwapooza wajinga...ufisadi ni ufisadi tu hata uupe sympathy name? Mama ni mtu mwema huenda ila wanaomshauri ni mabogus,whether kwa kujua au kwa kutojua! Historia itamhukumu!
 
Back
Top Bottom