OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Simba ni timu tunaayofanya mambo kisomi na kimataifa. Afrika na dunia inatutazama kama timu tishio.
Utani: Bakuli mmeanza kulalama why Simba Sc imekuwa na viporo vya usajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna watu wamelamba jike usiogope kuwatajaTumelamba dume.
Bigirimana amewaingiza cha kikeAjibu free agent na uyo mkenya free agent, VIP mmekua Juventus kupenda vitu vya bure
Kwa hiyo mchezaji mzuri akiwa huru tumuache?Ajibu free agent na uyo mkenya free agent, VIP mmekua Juventus kupenda vitu vya bure
Mkuu nyie wenyewe mnajifaragua kwamba hamuwezi kusajili mchezaji ambaye n free agent(hana tm),sasa huyu imekwaje?Kwa hiyo mchezaji mzuri akiwa huru tumuache?
Hata mimi nakuunga mkono Mkuu, maana hata uwezo wake Kwa sasa upo chini kidogo huwezi kumlingsnisha na Mkude au Haruna Niyonzima. Nilimuona kwenye mechi nyingi za Caf Conferedation Cup.Huyu Kahata namtabilia kuwa kama Rafael Kiongera au wale kina Serunkuma pale simba!
Jamaa anajua ila yuko slow sana, Bodaboda wasitegemee chochote cha maana toka kwa huyu
Huyo hapoKuna tetesi za huyu jamaa Ange Baresi kuwa kesha saini simba! Hii iko vipi wadau ?
Mh hii njemba iba 32?
Simba siku hizi imekuwa ' addiktedi' na ' wazee'! Unamwachaje kijana kama Juuko ukachukua huyo mzee?! Una Wawa, Nyoni afu unaongeza mzee mwingine Baresi
Hata hivyo mpira wa kibongo haujawahi kuleta positive impact kwa kuwategemea vijana,hata timu nyingi za kiafrica zipo hiviSimba siku hizi imekuwa ' addiktedi' na ' wazee'! Unamwachaje kijana kama Juuko ukachukua huyo mzee?! Una Wawa, Nyoni afu unaongeza mzee mwingine Baresi