Deal Done: Kiungo wa GorMahia Fransic Kahata asaini Simba SC

Deal Done: Kiungo wa GorMahia Fransic Kahata asaini Simba SC

Kahata! Kwangu bora Niyonzima kuliko huyu mtu.
Haruna anajua kuhama na mpira uwanja mzima na kupiga back pas, sio mfungaji hata pasi za magoli ni adimu kwake.. stamina ni ndogo.
Francis Kahata anakupiga chenga.. anachezesha timu.. anafunga na kutengeneza nafasi, pia stamina ya kutosha
 
Usajiri unatokana na uhitaji wa mwalimu na mfumo atakaotaka kuutumia....Kama Simba inataka kucheza 3-5-2 wakiwa nyumbani maana take wanahitaji viungo wanyumbulifu ili Timu iwe inashambulia mda wote kwaio Kama akianza Chama ,Niyonzima na kahata sio kosa..angalia mechi ya As Vita dakika za mwisho tulivyofunguka Tukawa hatuna kiungo mwenye asili ya kukaba,game plan zinabadilika kulingana na mechi Kama tunataka ushindi wa goli nyingi tunaweka viungo wengi
Niyonzima bado yupo Simba?
 
Simba inatatizo kwenye Difence, ili lina fahamika sasa kama wanaendelea kusajili viungo na Difence inavuja tutegemee Kichapo cha goli tanotano Kuendelea.
Alternatively kama viungo ni wazuri basi watazuia mpira usifike kwa mabeki
 
Back
Top Bottom