Deal Done: Kiungo wa GorMahia Fransic Kahata asaini Simba SC

Kahata! Kwangu bora Niyonzima kuliko huyu mtu.
Haruna anajua kuhama na mpira uwanja mzima na kupiga back pas, sio mfungaji hata pasi za magoli ni adimu kwake.. stamina ni ndogo.
Francis Kahata anakupiga chenga.. anachezesha timu.. anafunga na kutengeneza nafasi, pia stamina ya kutosha
 
Niyonzima bado yupo Simba?
 
Simba inatatizo kwenye Difence, ili lina fahamika sasa kama wanaendelea kusajili viungo na Difence inavuja tutegemee Kichapo cha goli tanotano Kuendelea.
Alternatively kama viungo ni wazuri basi watazuia mpira usifike kwa mabeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…