Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,986
------------------------------------------
Taarifa zaidi zinakuja,usiondoke kaa hapo hapo!!
___________________________________
Updates:
Yanga imekamilisha usajiri wa kiungo mkabaji Papy Kabamba Tshishimbi.
Natafuta taarifa rasmi na picha kisha ntawawekea hapa.
So rasmi kabisa Kabamba Tshishimbi ni mchezaji halali wa Yanga.