Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..

Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..

mkuu umetoa hoja ikiambatana na mifano ila lakini wanaokujibu wanakujibu kwa ushabiki..
 
"So sijauona mkataba lakini naweza kuimagine skeleton yake ikoje" hapa ndo umeprove failure huwezi kuimagine kitu kilichokuzidi uwezo afu unasema upo karibu na music industry ukiwa kama nani producer,manager,dj,distributor,au una dili na mikataba ya wasanii? Si lazima kuweka ujuaji kwenye kila kitu
OK naona unataka tuanzishe ubishi wa kitoto kwamba mpaka uone contract eti ndio ufanye analysis!! Nadhani haufahamu hata Forbes (kwa mfano) wanatumia info kutokana na 'ufahamu' wao kucalculate net worth za watu ambazo tunatangaziwa kila siku na zitumia kurank watu.. Mkataba wa Ali na Sony ni siri yao wao ninapokwambia kuwa naweza kuijua skeleton ya mkataba namaanisha kuwa wanachokifanya Sony kinajulikana (music production, marketing, distribution, branding etc) so kwa akili ya kawaida kabisa hatutegemei mkataba wao utahusu 'kuuza magari'!! Mkataba utahusu hivyo vitu nilivyovimention hapo ila kilicho siri ni zile details zenyewe moja moja.. Kwa mfano labda atarekodi nyimbo ngapi katika kipindi chake cha mkataba, au thamani ya video zitakuwaje, au wasanii wa kalibha gani wana watarget afanye nao kolabo etc etc etc..
 
Uzuri Dr king alikuwa anaongelea 'moving forward' not 'backward'
Boss kwa namna hyo husaidii wasanii zaid ya kukatisha tamaa wasanii walua hawana pesa ya kuingia studio nzur kufanya video nzur pesa ya kulipa wasaidiz leo ali kiba kapata vyote utaanzakutoa utabir wa kijnga ultaka nini wenye nazo ndo waendelee na wasionavyo wasote milele wivu na ushabik wakijinga huo ona aibu..
 
Muda wa kuandika thread ndefu hivi alafu iko negative unaupata wapi?
Wabongo kula kitu mnajifanya mnajua.
Wewe uliye bize na mambo yako ya muhimu kuliko sisi wote duniani nashangaa unafanya nini hapa!! Hujalazimishwa kusoma wala kuchangia... Tuache sisi tusio kuwa na mambo ya msingi ya kufanya tuendelee kupoteza muda!!

Vipi umelizika muheshimiwa???
Watu wengine kwa kujifanya important[emoji57]
 
Sasa rafiki umesema lebo hiyo ina manage kazi za Ali Kiba through out Africa! Sasa huoni hiyo kama ni hatua! Sidhani kama management yake ya sasa ilikuwa na mkataba wa kumpromote Africa nzima! Actually kufanya vizuri kwenyw gane ni zaidi ya lebo, na huwezi kuendelea usipokubali changamoto! Kila kitu huanza kwa hatua.
Na ndio maana mwishoni mwa andiko langu nimemtakia kilala heri (kutoka moyoni mwangu kabisa) na binafsi ntafurahi nikiona dili ime work out.. But nimetoa mtazamo wangu tu na kuonyesha wasiwasi wangu juu ya hilo!
 
Mkuu mi naomba nikurekebishe kidogo tu na kuweka kumbukumbu sawa, D-banj hajawahi kuwa Mavins Record, acha kupotosha watu ama kwa bahati mbaya au makusudi
D'banj alikuwa anasimamiwa kazi zake za kimuziki na Don jazzy ambaye ndiye mmiliki wa Mavins!

Hapo vipi?
 
Boss kwa namna hyo husaidii wasanii zaid ya kukatisha tamaa wasanii walua hawana pesa ya kuingia studio nzur kufanya video nzur pesa ya kulipa wasaidiz leo ali kiba kapata vyote utaanzakutoa utabir wa kijnga ultaka nini wenye nazo ndo waendelee na wasionavyo wasote milele wivu na ushabik wakijinga huo ona aibu..
Ngoja nipretend kama sijayaona hayo matusi yako niende kwenye hoja ya msingi!! Wasanii wote unaowaona wanaitingisha Afrika kwa sasa hawawataki kabisa kuwasikia hawa Sony na wenzao.. Na kutengeneza management nzuri hakuhitaji msanii uwe na fedha, kumbuka wewe msanii ndiye product wao wanakuja kuimarket na watapata riziki yao kulingana na mafanikio yatakayo patikana
 
Huko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..

Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..

Kingine watu wanaona hii ni kama Bahati Ali amepata wanachoshindwa kuelewa ni kwamba wasanii wakubwa Africa huwa wanakataa kusign na hizi kampuni zenye asili ya marekani na ulaya kutokana na kampuni hizi kushindwa kutimiza malengo na kutoelewa mazingira ya soko la mziki Africa! Kwa mfano wasanii wote ambao wamewahi kusign na Sony karibia wote walikuja kufa kimuziki kutokana na Sony kushindwa kuwa market kutokana na kutoelewa mziki wa Africa; mfano wasanii kama Nakaaya Sumari, Nneke Egbuna (Nigeria), Luncvile (SA), Nathan Ro (SA) wote hawa wamepotea kwenye mziki..

Mfano mwingine ni msanii D'banj ambaye aliondoka Mavins na kujiunga na label ya GodLife chini ya kanye west, mpaka sasa D'banj anasafiria jina lake tu lakini kimuziki ameshuka vibaya sana!! Kampuni za kimarekani hazina record ya kuwatoa wasanii wa kiafrika na hii inatokana na kutoelewa industry yetu na ndio maana Psquare walikataa mabilioni waliyotaka kupewa ili wasign Convict records..

Kingine kinachosemwa na watu ni kwamba hizi kampuni zina mambo mengine makubwa zaidi kwahiyo inakuwa nguvu kwao kuwa serious sana na mwanamuziki mmoja mmoja; kwa mfano kampuni mama ya Sony Music Africa (Sony Entertainment BMG) ina zaidi ya label 25 ndogo ndogo kama hii aliyosign kiba na ina wasanii karibia katika kila nnchi ya ulaya, Asia na Amerika ya kusini. Wana zaidi ya wasanii elfu moja wanaowasimamia so inakuwa ngumu kwao kutoa macho kwa msanii mmoja mmoja na ndio maana wasanii wengi wakubwa wa Africa wanakataa kusign chini yao wanaona ni afadhali watengeneze timu zao wenyewe za management ambazo macho yao na attention yote itakuwa kwao wao kama wasanii..

Anyways, let me just assume management ya Ali inafahamu vitu ambavyo mimi sivifahamu na wamefanya research ya kutosha kabla ya kusign na hatimaye watatuprove wrong wote ambao tuko sceptical about this deal.!!
Kama kijana mwenzangu namtakia kilala kheri na mafanikio katika safari yake mpya...
Sidhani km hii sentensi ya mwisho unamaanisha umeandika as if unaudharau huo mkataba [emoji20] [emoji20] [emoji20]
 
watu kama nyinyi hamkosekani, r4000 nayo mliponda kama hivi, unajitahidi kumponda mtu ambaye akipiga show ya masaa manne ni mishahara yako ya miezi kibao
Kuna wa tanzania wana roho mbaya ni kijana wenzao mtanzania mwenzio mtu anahakikisha anamshusha Kwa makusudi mane no meeengi kumbe hata ajira hana... Wakati mwenzie ana ingiza mapesa
 
Nakaaya yupo rehab... Rose muhando yupo rehab.... Keko kawa kichaa.. Yote sababu ya mkataba wa sonny.

Kiba....??

Mhh ngoja nipite zangu nisiitwe hater mie.

Nyi ndo wachawi wenyewe msiotaka maendeleo ya watu,umeambiwa Sonny ndo wanamfanya mtu adate na kwenda Rehab?
 
Kuna wa tanzania wanashabikia roho mbaya ni kijana wenzao mtanzania mwenzio mtu anahakikisha anamshusha Kwa makusudi mane no meeengi kumbe hata ajira hana... Wakati mwenzie ana ingiza mapesa
wabongo tuna matatizo sana, hatuonagi mazuri, ukiacha hiyo ya sony kuna mkataba mwingine pia kasaini lakini wote kimya, wamekazania sony sabb hapo ndo kuna angalau kanafasi ka kuponda
 
wabongo tuna matatizo sana, hatuonagi mazuri, ukiacha hiyo ya sony kuna mkataba mwingine pia kasaini lakini wote kimya, wamekazania sony sabb hapo ndo kuna angalau kanafasi ka kuponda
Huo mkataba wa Sony ndio concern yangu ulipo!! Alafu ni opinion yangu binafsi tu hakuna haja ya kutoka povu sana..
 
OK naona unataka tuanzishe ubishi wa kitoto kwamba mpaka uone contract eti ndio ufanye analysis!! Nadhani haufahamu hata Forbes (kwa mfano) wanatumia info kutokana na 'ufahamu' wao kucalculate net worth za watu ambazo tunatangaziwa kila siku na zitumia kurank watu.. Mkataba wa Ali na Sony ni siri yao wao ninapokwambia kuwa naweza kuijua skeleton ya mkataba namaanisha kuwa wanachokifanya Sony kinajulikana (music production, marketing, distribution, branding etc) so kwa akili ya kawaida kabisa hatutegemei mkataba wao utahusu 'kuuza magari'!! Mkataba utahusu hivyo vitu nilivyovimention hapo ila kilicho siri ni zile details zenyewe moja moja.. Kwa mfano labda atarekodi nyimbo ngapi katika kipindi chake cha mkataba, au thamani ya video zitakuwaje, au wasanii wa kalibha gani wana watarget afanye nao kolabo etc etc etc..

Wewe ndo unaleta ubishi wa kitoto unazunguka wee unarudi palepale na unakiri kabisa"kilicho siri ni zile details zenyewe moja kwa moja " ambazo ndo main point na wewe huzifahamu ila matokeo yake umehitimisha kwa kauli kuwa hudhani kama itamsaidia Kiba,tambua kabisa siku hizi hatuishi kwa nadharia na hata hao forbes huwa wanafanya utafiti ndo wanakuja na majibu si kudhani fulani ndo atakua juu ya mtu fulani kisa ana vitu kadhaa..Tambua kuwa Ali Kiba nae ana washauri wake ambao humshauri kabla hajafanya maamuzi na wasanii wengine pia hufanya hivyo
 
Back
Top Bottom